KABISAAAAAAAAAASamaki mmoja akioza sio wote, hata wanaume wana mabaya yao lakini huwezi ukahukumu kuwa wote wapo hivyo.
Ni sawa.Soma hapo juu nimekujibu after kumuambia ukweli akaanza kumuhudumia.
ni kweli, sijui tatizo mkishajua mnapendwaa,Samaki mmoja akioza sio wote, hata wanaume wana mabaya yao lakini huwezi ukahukumu kuwa wote wapo hivyo.
What is being simple? In layman's language....!!! Ili na wengine wajifunze kuwa "simple" pia... Mr Miller!!Hata mimi nilikuwa siamini ila sasa hivi kidoogo naanza kuamini...
*siombei mabaya ila huyu akiendelea hivi basi atakuwa mke wangu wa ndoa hasa, she is simple and real. Ananifanya hata mm niwe real na nijiamini zaidi...
After miezi 6 ndiyo alimuambia ukweli, may be kuanzia mwaka angebadilika ila mmh sidhaniNi mungu tu alimpangia huyo Csta. Alafu upendo ukiwa pande zote mambo yanaendaga tu yenye. Ila pesa nayo inahusika sana huyo jamaa angendelea kusema yeye ni boda boda labda kwa miezi 6 kwenda juu angeachiwa nyoya tu.
Jinsi ambavyo umeshahudhuria hizi lodge hapa mjini walahi nakuambia kuna lodge zitaanza kuitwa Miss Natafuta!!wanawake wachache sana wanaopenda hela .shida kubwa ya wanaume hawajiamini,ni waongooo.wanabaki kuvuna walichopanda. kuwa real inalipa sana.wao mashauzi yamewajaa inshort hawana hekima wala busara karika kutafuta wenza wao
Ndio Mwanangu wacha tuzitafute ili tuwe tunachukua tunachokitaka sio kilichochokwa na wengineHadi leo naamini hivyo maana sijawahi kuona wanawake wa mapenzi ya dhati.
Kila wanapoona pesa hawachoki kusumbua na kurukwa akili.
Acha tuendelee kuzitafuta aiseeh
Bora uongee ukweli ukataliwe kuliko udanganye uje uadhirike baadae kama yule aliyekutwa jikoni hotelini wakati kajigamba yeye anafanya TPA. Uongo wa namna hiyo sio mzuri kwakweli, kama ni kudanganya jishushe chini ili ukija julikana kua wewe ni matawi basi iwe ni surprise kwa mwenzio. Uongo wa kutaka kumharibia mwenzio maisha(maana kila mtu ana ambition zake na background yake) sio mzuriTatizo wengine hawajiamini wanaona wakiongea ukweli labda watakataliwa
Aisee! Alafu wanawake ambao hawanaga mambo mengi wanakuaga na bahati sana laiti angekuwa na mambo mengi asingekua na jamaa leo hii.After miezi 6 ndiyo alimuambia ukweli, may be kuanzia mwaka angebadilika ila mmh sidhani
Naomba konda ajitokeze atusaidie wao haswa wanakuwa na sifa ganiIlikua njiani tunatoka kula, halafu yule kaka yupo simple mnoooo. Hata akitokea sasa hivi akikuambia yeye ni konda utaamini.



Heri anae amin pasipo kuonaHadi leo naamini hivyo maana sijawahi kuona wanawake wa mapenzi ya dhati.
Kila wanapoona pesa hawachoki kusumbua na kurukwa akili.
Acha tuendelee kuzitafuta aiseeh