King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
hahaha mapenzi yamekuwa khabare ya mujini. mama wa watu anafanya supplimentary, hakufall in love maisha yake yote saa hizi ndo kastukia maskini. hata kama hawamuingilii mama yao lakini uamuzi wa kuuza nyumba angeshirikisha wanae at least
(huu uzi ufungwe. kuna mzee naiwinda pensheni yake nikinyanyuka nayo ntakushtua dada Dena Amsi)
(huu uzi ufungwe. kuna mzee naiwinda pensheni yake nikinyanyuka nayo ntakushtua dada Dena Amsi)
Last edited by a moderator: