Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
duuuuh pole yake huyo mama hii ina apply kote si kwa wamama tu tuwe makini na wapenzi wapya
Inasikitisha sana. Hivi alikuwa hawashirikishi watoto zake?!
Duh hatari sana..... Mie aunt yangu alilizwa na ki serengeti boy chake
hana hamu hata kidogo.. Uncle tapeli yule, baada ya kumdhulumu aunt
kaanzisha na kanisa sa hivi analamba sadaka za waumini tu
Yaani familia hizi za kitajiri ni shida watoto kila mtu na hamsini zake hawamuingilii mama yao hata chembe halafu si unajua tena ma vyeo ya jeshi wakawa hawana wasiwasi wowote wanajua yuko fit acha tu
Wana respect privacy ya mama yao, she has a right to be happy; she can date anyone as long she is happy. And now she has a right to be miserable as long as her misery does not affect others. She made her on mess......
Ila inasikitisha sana
Umeona na wana hakika mama yao ni kamanda anajielewa
Inasikitisha sana, hata hao police fake itakuwa dili la huyo serengeti boy wake
akamloge. kwisha kazi.
mwambie aje nimpeleke kwa bibi kigoma.......>
Hahah, naona kanisa sasa ni dili la haraka la kupigia pesa.
Mtaji wake unatakiwa uwe ka sh ngapi hivi nami nianzishe