Mapenzi ya kisasa yana matatizo yake

Mapenzi ya kisasa yana matatizo yake

Hayo yote lawama nan.....
Tatzo noti mkuu au pesa faranga dollar bila hiyo hakuna maisha .....mslaum sana ndio maisha ya kisasa....
 
oh my GOD..! lakini, kuna uwezekano wa kutibika endapo ulimi ukiathrika?

vipi kuhusu cancer ya koo, nayo pia inatibika au ndio basi tena doctor?
Mkuu Excel wakati mwingine inabidi kuwa makini kuna vitu unaweza mtu kuvifanya madhara yake yakaja baadae kabisa
 
Tatizo watu tumeacha kuwa wabunifu na kurush katika kuandaana...wapo ambao wanadhan sex ni chumvini tu...tena wengine wananyonya mpaka tigo....kuna kitu kitaalam tunaita normal flora..hawa ni bacteria wa asili wanaokuwa sehemu fulani kutulinda na vimelea vya magonjwa...lakini hawa normal flora wakitoka kwenye makazi yao mfano kwenye anus kwenda kwenye vagina wanasababisha maambukizi kama UTI...so tuwe wabunifu tu kuna sehemu nyingi za kufurahishana na technique nyingi na sio lazima kuzama chumvini tu.na kwenye septic tank(tigo).
 
bila kusahau inachangia kupata kansa ya koo.xo guys take care your self
 
Kunyonya muhimu

Una uhakika na hiyo unayonyonya imeingia na kukwangua mashimo mangapi? Tena kwa hiki kizazi ambacho watu wamegeuza choo za office ndo gesti, ni bora uni time hiyo utamu wako.
 
Maisha tuliyochagua kuishi yana changamoto nyingi ambazo tunajifanya hatuzioni. Mi ni bora niachane tu na huyo mwanamke, hayo mambo yenu ya kizungu siyawezi kabisaaaa"

hili nalo ni wazo nzuri aisee
 
mkuu umenena mwenye macho na masikio
ya kusikia na aone hapa kwenye hii uzi wako
 
Back
Top Bottom