Mapenzi ya kisasa yana matatizo yake

Mapenzi ya kisasa yana matatizo yake

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,989
Reaction score
5,067
Mara nyingi tumekuwa tukipenda kufanya hili tendo kwa staili tofauti na kuongeza vikorombwezo kibao mfano; kuzama chumvini, kunyonya uume, denda nk ili tufurahie na kuonekana tunajua.

Lakini yale tunayoyafanya tunasahau kuwa yana athari zake.

Naomba kushare nanyi vitu nilivyowahi kutana navyo ili kuweza kushauriana. (Sorry kwa watakaokwazika, simaanishi vile mtakavyochukulia.) Kuna watu(clients)zaidi ya 20 nimekuwa nikukutana nao wakiumwa fangasi wa mdomoni kwa muda mrefu(persistent oral candidiasis) licha ya kupewa matibabu.

Ni HIV negative( hii hutokea mara nyingi kwa watu wenye upungufu wa kinga)na wanafanya normal penetrative vaginal sex. Matatizo mengine hamna na wala hawatumii antibiotics kwa muda mrefu.

Nilipoulizia zaidi kuhusu kugegedana kwao nikajua kwamba huwa wananyonyana nyeti zao pindi wanapokuwa pamoja ili wafurahishane.

Nikawashauri kuacha michezo hiyo wakaafiki na hawajarudi tena na tatizo zaidi ya kutoa shukrani.

Ni kitu kisichostusha kwa mwanamke kuwa na fangasi ukeni hasa kwa wajawazito.

Mwanamke kama huyo unapomnyonya uke wake unabeba hao fungus na kuwahamishia mdomoni kwako.

Pia mwanamke anaponyonya ub.oo wako baada ya kugegedana anabeba wadudu na kuingia mdomoni kwake.

The same applies kwa kiss za mdomo kwa mdomo.

Kingine tunaogopa kufanya mapenzi bila condom (vaginal sex) na kusahau kuwa tunanyonya k, kushika mike nk ambavyo navyo michubuko hutokea na kutuweka kwenye hatari ya maambukizi ya VVU!

Tuweni makini kama na mambo tunayoiga.

Mengine ni hatari kwetu wenyewe. 🙁
 
Ni kweli kabisa...hizi njia tunazotumia kufanya mapenzi zina shida yake...kufanya mapenzi naturaly kunafaida sana...ila inahitaji uvumilivu na kujitoa
 
Hii taarifa imekaa njema ndugu kama ungeweza kuweka na dalili za fangus wa mdomon ingesaidia sana kwa mtu kujigundua kama ana tatizo hlo.

thanx kwa elimu
 
Hii taarifa imekaa njema ndugu kama ungeweza kuweka na dalili za fangus wa mdomon ingesaidia sana kwa mtu kujigundua kama ana tatizo hlo.

thanx kwa elimu

MTU unakuwa na vidonda mdomoni, kuwa na utando mweupe mdomoni, kupata maumivu mdomoni. Kuna wengine wanapata shida wakati wa kumeza
 
Mkuu huu ushauri ni mzuri sana na hata mimi nakubaliana nao. Ila naomba kwa kuwa huku kuna wabishi wengi ungetuwekea na zile picha kama inawezekana labda wataelewa zaidi zinavyotisha na wataweza badilika. Ahsante.

Wenu mtiifu Ndeye.
 
"Ulimbuken wa wazungu ndio fashen kwa mwafrika"

kwa wanzungu wana zama chumvini kwa mwanamke aliyekoma "hedhi" kuanzia miaka ya 40.
Kwa wabongo,hata mwanamke kamaliza hedhi leo jion usiku mtu kazama chumvini!
 
Hii taarifa imekaa njema ndugu kama ungeweza kuweka na dalili za fangus wa mdomon ingesaidia sana kwa mtu kujigundua kama ana tatizo hlo.

thanx kwa elimu


The following are among the signs of oral candiasis. Oral thrush causes curd-like white patches that appear inside the mouth, on the tongue and palate and around the lips. It may also cause cracked, red, moist areas of skin at the corners of the mouth. Thrush patches may or may not be painful. download.jpg Yeast infection of the mouth

 
The following are among the signs of oral candiasis. Oral thrush causes curd-like white patches that appear inside the mouth, on the tongue and palate and around the lips. It may also cause cracked, red, moist areas of skin at the corners of the mouth. Thrush patches may or may not be painful.View attachment 141677 Yeast infection of the mouth


Mamaaaaaaaaaaaaa mmh hii ni hatar
 
tufanye yetu na tamaduni zetu mambo ya kizungu tuache ......
athar za ngono ni nying hasa haya mapenzi ya siku hiz yapo like show kunako 6*6 sio mpaka hayo
 
"Ulimbuken wa wazungu ndio fashen kwa mwafrika"

kwa wanzungu wana zama chumvini kwa mwanamke aliyekoma "hedhi" kuanzia miaka ya 40.
Kwa wabongo,hata mwanamke kamaliza hedhi leo jion usiku mtu kazama chumvini!

Nini kumaliza kuna kituko nilikutana nacho niko kwenye hedhi anaomba mechi kukataa kaomba japo anyonye k tu ehh nilishtuka nikamuuliza wewe Zombie?
 
Ila inaogopesha jamani kichefu chefu zaudi unaweza nyonya mboo iliotoka kutumika huko then we hujui ee mungu niepushe na mabalaa kama haya
 
The following are among the signs of oral candiasis. Oral thrush causes curd-like white patches that appear inside the mouth, on the tongue and palate and around the lips. It may also cause cracked, red, moist areas of skin at the corners of the mouth. Thrush patches may or may not be painful.View attachment 141677 Yeast infection of the mouth

yeuwiiii mamam ...
 
Ila inaogopesha jamani kichefu chefu zaudi unaweza nyonya mboo iliotoka kutumika huko then we hujui ee mungu niepushe na mabalaa kama haya

Si ndio raha mnayoisema?
 
Back
Top Bottom