Mapenzi ya kisasa yana matatizo yake

Mapenzi ya kisasa yana matatizo yake

Hii taarifa imekaa njema ndugu kama ungeweza kuweka na dalili za fangus wa mdomon ingesaidia sana kwa mtu kujigundua kama ana tatizo hlo.

thanx kwa elimu

Huu ni uambukizo wa fungus kwenye ulimi. Mara nyingi ukiona uchafu mweupe unatoka ukeni ni dalili za uambukizo. Sasa kwa wanyonyaji wa k wanahamishia hawa wadudu mdomoni, loh!
 

Attachments

  • 1393430172731.jpg
    1393430172731.jpg
    62.8 KB · Views: 222
Ni kweli kabisa...hizi njia tunazotumia kufanya mapenzi zina shida yake...kufanya mapenzi naturaly kunafaida sana...ila inahitaji uvumilivu na kujitoa

safi doc..

lakini doc, hizi njia naturally unazosema ni kwamba no romance allowed?

hisia zenu sasa zitaamshwaje?
 
Mmmhhh hamu ya kunyonya papuchi yote imeisha kwa picha hiyo

Ha,ha, kwa wenzetu huwa wanahakikisha mwanamke kachekiwa mambo mengi sana ya kiafya. Pia suala la usafi ni la muhimu sana!
 
safi doc..

lakini doc, hizi njia naturally unazosema ni kwamba no romance allowed?

hisia zenu sasa zitaamshwaje?

Kuna romance inaweza kufanyika pasipo kulambana nyeti. Just a simple touch on sensitive areas huamsha hisia kiasi cha kutosha.!
 
Hivi hayo uliyoseyasema ni ya kisasa ? au yapo tangia enzi na enzi; There is nothing new mkuu.... na kuhusu cunnilingus (kama mtu ni msafi) ni kwamba its more likely kukawa na bacterias wengi kwenye mdomo wake kuliko hata kifaa chake..., by the way it is said that same bacterias found in vagina are also found in yogurt...

What am trying to say is watu wafanye kile ambacho kinawapendeza wote wawili na sio kumfurahisha mmoja tu na kama wote ni wasafi basi its safely to say that its safe...
 
Kuna romance inaweza kufanyika pasipo kulambana nyeti. Just a simple touch on sensitive areas huamsha hisia kiasi cha kutosha.!

wow.. this sounds good... lakini kwa vijana wa sasa bila kugusa kinywa wanahisi hawajamaliza hisia zao..

thanks indeed..
 
Hivi hayo uliyoseyasema ni ya kisasa ? au yapo tangia enzi na enzi; There is nothing new mkuu.... na kuhusu cunnilingus (kama mtu ni msafi) ni kwamba its more likely kukawa na bacterias wengi kwenye mdomo wake kuliko hata kifaa chake..., by the way it is said that same bacterias found in vagina are also found in yogurt...

What am trying to say is watu wafanye kile ambacho kinawapendeza wote wawili na sio kumfurahisha mmoja tu na kama wote ni wasafi basi its safely to say that its safe...

Mkuu kwenye miili yetu sehemu nyingi zina bakteria ambao wanasaidia kwenye immunity pia. Hao wanaitwa normal flora. Hawa hawaleti shida yoyote pale mahali wanapopatikana. Shida inakuja pale wanapohamishwa na kwenda sehemu tofauti na pale pa asili. Bakteria wa kwenye k sio sawa na wa mdomoni Ndugu yangu.!! Aafu ujue we differ genetically, kitu kisichokuletea shida wewe sio kila mmoja hakitamdhuru.
 
Mkuu kwenye miili yetu sehemu nyingi zina bakteria ambao wanasaidia kwenye immunity pia. Hao wanaitwa normal flora. Hawa hawaleti shida yoyote pale mahali wanapopatikana. Shida inakuja pale wanapohamishwa na kwenda sehemu tofauti na pale pa asili. Bakteria wa kwenye k sio sawa na wa mdomoni Ndugu yangu.!! Aafu ujue we differ genetically, kitu kisichokuletea shida wewe sio kila mmoja hakitamdhuru.

Na point yangu ni kwamba a healthy K (kwa mdada msafi) inaweza kuleta madhara gani kwenye mdomo ? (kumbuka hapa a keyword ni healthy) sababu kama tunaongelea watu ambao sio healthy hata hicho kinachofaa kuingia huko kwenye K kama kina madhara basi mtapata madhara..

In short what am trying to say is...., there is no scientific facts kwamba cunnilingus is unhealthy if performed between healthy people
 
Mr akiona hapa walah anigusi trna alivyo muoga lol
Asante kwa somo
 
Hata mimi hayo ya kizungu siyawezi tatizo la waafrika tunakumbatia kila kitu kinachofanywa na wazungu tunaona ndio usasa zaidi na kutokufanya hayo ni ushamba tunaacha maadili yetu na kufata yao
 
wow.. this sounds good... lakini kwa vijana wa sasa bila kugusa kinywa wanahisi hawajamaliza hisia zao..

thanks indeed..

Unajua kuna vitu huwa tunavifanya ili tuonekane tunaenda na wakati pasipo kufikiria upande wa pili. Can you imagine mtu anakwepa kuchomeka uboo(ambao ni mgumu) kwenye k kwa kuogopa vvu lakini yupo radhi kufyonza lips zake(ambazo ni rahisi kutokea mchubuko) kwenye k. Aafu utasema umefanya safe sex!!!!!?
 
Unajua kuna vitu huwa tunavifanya ili tuonekane tunaenda na wakati pasipo kufikiria upande wa pili. Can you imagine mtu anakwepa kuchomeka uboo(ambao ni mgumu) kwenye k kwa kuogopa vvu lakini yupo radhi kufyonza lips zake(ambazo ni rahisi kutokea mchubuko) kwenye k. Aafu utasema umefanya safe sex!!!!!?

hili naona wengi hawajlijua.. na wanaolijua wanajifanya vipofu..

wabongo kwa kuiga tu, we are fine..
 
safi doc..

lakini doc, hizi njia naturally unazosema ni kwamba no romance allowed?

hisia zenu sasa zitaamshwaje?
Mkuu labda mm natumia biology...unajua wakati mwingine haya mambo hayahitaji baiology... Lakini natural way namaanisha kwamba km ni romance inakua ile natura mwanamke anasehemu zake(zile sehemu zenye nerve nyingi)..mwanaume ukiwa mvumilivu(sisi huwa tunarush) unamwamsha poa kabisa...haina haja ya chimvini au wapi...maana kuna madhara makubwa sana mkuu
 
Mkuu labda mm natumia biology...unajua wakati mwingine haya mambo hayahitaji baiology... Lakini natural way namaanisha kwamba km ni romance inakua ile natura mwanamke anasehemu zake(zile sehemu zenye nerve nyingi)..mwanaume ukiwa mvumilivu(sisi huwa tunarush) unamwamsha poa kabisa...haina haja ya chimvini au wapi...maana kuna madhara makubwa sana mkuu

ahsante sana doctor.. ila nina swali dogo tu kwako, huko chumvini ambako vijana wengi wanakukimbilia, hivi ni kweli

kwamba kunaathiri ulimi kiasi cha kubabuka? kuna kemikali gani ambayo inasababisha ulimi unachanika doctor?
 
ahsante sana doctor.. ila nina swali dogo tu kwako, huko chumvini ambako vijana wengi wanakukimbilia, hivi ni kweli

kwamba kunaathiri ulimi kiasi cha kubabuka? kuna kemikali gani ambayo inasababisha ulimi unachanika doctor?
Sio chemical mkuu...ila kuna bacteria na virus wengi(human papiloma virus, herpers simplex virus), fungus...na hawa wote ni wadogo sana(microscopic) huwezi ona kwa macho.. Ambao wanaweza kusababisha magonjwa mengi kwenye kinywa na ulimi..kina baadhi ya study zinaonesha husababisha mpaka cancer km wakifanya cellular transformation
 
Sio chemical mkuu...ila kuna bacteria na virus wengi(human papiloma virus, herpers simplex virus), fungus...na hawa wote ni wadogo sana(microscopic) huwezi ona kwa macho.. Ambao wanaweza kusababisha magonjwa mengi kwenye kinywa na ulimi..kina baadhi ya study zinaonesha husababisha mpaka cancer km wakifanya cellular transformation

oh my GOD..! lakini, kuna uwezekano wa kutibika endapo ulimi ukiathrika?

vipi kuhusu cancer ya koo, nayo pia inatibika au ndio basi tena doctor?
 
Back
Top Bottom