Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Status
Not open for further replies.
Hivi Fang au Pruner threads za namna hii zinaruhusiwa?
 
Last edited by a moderator:
unaweza sema vitoto weninge ni baba zako acha zarau
 
so wewe ulikua mule mule kwenye matarajio yake etii? mean perfect?
 
hayo ndo matokeo ya mapenzi ya kuandika maombi na kuambatanisha CV ,
 
wakubwa shkamooni na mnisamehe, today I have finally confirmed. Hakuna mapenzi ya ukweli ya kukutana kwenye mitandao Tanzania, labda huko nchi za wenzetu ambao wanaweza kuwa wanatumia hii mitandao kuwanufaisha. Wewe kama hukumpenda ulimbanjua wa nini?
 
najua ushauri wenu umenifikia kwanzia leo ctaki wanawake wa mitandaoni

  • :wave:
 
Haha haha wewe umenichekesha Humu kila mtu na wake na tushaenea lolz..
Kaa mlangoni vizia wageni wanaoingia sasa
Ntamwambia akutaje, kumbe ndio watesaji wenyewe kutubandikia picha za warembo??
avatar17722_7.gif
chekechea umemaliza lini?

nataka akiendelea namwanika najua ushauri wenu umenifikia kwanzia leo ctaki wanawake wa mitandaoni


  • :wave:
kwa nini umeamua hivyo unafikiri na wao watakuacha wewe subiri wataendelea tu ni bora mtaje tu
 
Tena jiite mwenye bahati, kuna jirani yangu anaitwa Kennedy alipenda picha ya demu wa kizungu kama wewe, alitumiwa nauli visa kwenda uingereza, Akitarajia kuwa amewin maisha mtoto wa kibongo kufika kule alipokelewa na bonge la baunsa la kizungu,maskini Kennedy aligeuzwa kuwa mke wa pili wa jamaa, ameliwa tigo huu mwaka wa 4 ndio amerudi, leo hii ndio kazi kutoa 0713 pale kinondoni manyanya. Sasa endelea tabia ya kupenda picha

teh sasa hii noma..mwache nae huyu atakuja toa 0715 kwa shobo za vipuli vya online
 
Sema me nliacha japo nlikua napenda xana kago za mitandao..bt mwenzenu zote nilikua na bahat ni zenyewe na mama yenu mdogo(shemej yenu) ndio nlimbamba huko..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom