Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
kabisaaaa, na mkaenda guest!
Kweli kazi!mi naona wote walewale 2,endeleeni kuzini
Kweli kazi!mi naona wote walewale 2,endeleeni kuzini
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.
wakubwa shkamooni na mnisamehe, today I have finally confirmed. Hakuna mapenzi ya ukweli ya kukutana kwenye mitandao Tanzania, labda huko nchi za wenzetu ambao wanaweza kuwa wanatumia hii mitandao kuwanufaisha. Wewe kama hukumpenda ulimbanjua wa nini?
kabisaaaa, na mkaenda guest!
Kweli kazi!mi naona wote walewale 2,endeleeni kuzini
mbeya mpaka dar na anatundanganya watu wazima kuwa eti alitoka kapa
dah Heaven on earth unayaamini haya
...mzigo alikula....ila ni genye gani hizo za kumfuata mtu usiemjua from mbeya to dar.... kweli UKIMWI nao una gharama zake kuupata,,, naamini hata CON hakutumia....
marahabaa mdogo wangu!!!!!!!!!
pole sanaaaa...... ila mapenzi hayana fomula wala conclusion.
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.
wakubwa shkamooni na mnisamehe, today I have finally confirmed. Hakuna mapenzi ya ukweli ya kukutana kwenye mitandao Tanzania, labda huko nchi za wenzetu ambao wanaweza kuwa wanatumia hii mitandao kuwanufaisha. Wewe kama hukumpenda ulimbanjua wa nini?
nilijikunjua 2. C unajua alikua ameisha ghalamika nikashindwa kumkimbia
ulimgegeda siku ngapi? Siku uliyofika usiku kucha ? Kesho yake maana ulikuwa hujakata ticket ya kurudi mbeya sasa hizo siku zote mbili hukuona kama unaweza badili mawaza. Mtu kama hujampenda huyo mzee anawezaje kusimama? Ndiyo mkome maana humu kuna watu kazi yao ni kutafuta ving'ast tu. Umekutana nalo.
hayakutokea puani cos mzigo uliubanjua,ungekuwa ulifunga safari
Kutoka mbeya hadi Dar kuifata K na ukaikosa basi hapo ingekua habari nyingine.......
Hahahahaha, kwahiyo asilalamike coz alifaidi
alifaidi alichokifata kakipata.........,zingine hizo porojo tu
Sure thing I concur
hata mi nilikuwa najiuliza hivyo aisee...... Huyu anatuzuga tu hapa au ndio analipiza malipo ya hisia ya kwenye mitandao pamoja na gharama ya kusafiri?
Akaona bora abanjuke tu kishingo upande..
Labda na yeye anafanana na mwandiko wake.mwandiko wako mbaya ,,,,,,,,,,
halafu sijui vijana mnategemea nini humu jf?????????