Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Status
Not open for further replies.
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.

Umejifunza kitu chenye tija kifanyie kazi, usione ukadhani!
 
wakubwa shkamooni na mnisamehe, today I have finally confirmed. Hakuna mapenzi ya ukweli ya kukutana kwenye mitandao Tanzania, labda huko nchi za wenzetu ambao wanaweza kuwa wanatumia hii mitandao kuwanufaisha. Wewe kama hukumpenda ulimbanjua wa nini?


marahabaa mdogo wangu!!!!!!!!!

pole sanaaaa...... ila mapenzi hayana fomula wala conclusion.
 
...mzigo alikula....ila ni genye gani hizo za kumfuata mtu usiemjua from mbeya to dar.... kweli UKIMWI nao una gharama zake kuupata,,, naamini hata CON hakutumia....

Mkuu nosspass ndo maana nimesema mbona anawadanganya watu wazima aise
mbeya mpaka dar na then karudi kimya kimya na gharama zote
Atuambie tuu hapa alichotarajia sicho na alikutana na kitu ambacho hakilipi gharama zake alizotumia
 
Last edited by a moderator:
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.

Hayatuhusu. This is your private business.
 
yaani kweli kuna watu vilaza...i wonder unamvulia kabisa nguo mtu humjui, my foot!
 
wakubwa shkamooni na mnisamehe, today I have finally confirmed. Hakuna mapenzi ya ukweli ya kukutana kwenye mitandao Tanzania, labda huko nchi za wenzetu ambao wanaweza kuwa wanatumia hii mitandao kuwanufaisha. Wewe kama hukumpenda ulimbanjua wa nini?

Marhabaa Destiny,siyo kila anaebanjuliwa anapendwa.
 
nilijikunjua 2. C unajua alikua ameisha ghalamika nikashindwa kumkimbia


ulimgegeda siku ngapi? Siku uliyofika usiku kucha ? Kesho yake maana ulikuwa hujakata ticket ya kurudi mbeya sasa hizo siku zote mbili hukuona kama unaweza badili mawaza. Mtu kama hujampenda huyo mzee anawezaje kusimama? Ndiyo mkome maana humu kuna watu kazi yao ni kutafuta ving'ast tu. Umekutana nalo.
 
ulimgegeda siku ngapi? Siku uliyofika usiku kucha ? Kesho yake maana ulikuwa hujakata ticket ya kurudi mbeya sasa hizo siku zote mbili hukuona kama unaweza badili mawaza. Mtu kama hujampenda huyo mzee anawezaje kusimama? Ndiyo mkome maana humu kuna watu kazi yao ni kutafuta ving'ast tu. Umekutana nalo.

hata mi nilikuwa najiuliza hivyo aisee...... Huyu anatuzuga tu hapa au ndio analipiza malipo ya hisia ya kwenye mitandao pamoja na gharama ya kusafiri?
Akaona bora abanjuke tu kishingo upande..
 
hata mi nilikuwa najiuliza hivyo aisee...... Huyu anatuzuga tu hapa au ndio analipiza malipo ya hisia ya kwenye mitandao pamoja na gharama ya kusafiri?
Akaona bora abanjuke tu kishingo upande..

aliamua kufa kijerumani TAI shingoni..teh hata mm ningekunjua GOTI kaka.mbeya dar almost FOTI SAMSING
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom