Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Status
Not open for further replies.
aliamua kufa kijerumani TAI shingoni..teh hata mm ningekunjua GOTI kaka.mbeya dar almost FOTI SAMSING

hahahaaa......! Unam-do huku umefumba macho ukimaliza unasepa fasta!!!!!! Hahahaaa uzinzi banaa!!!!!!
 
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.
Mi ningekuelewa kama ungeondoka bila kula mzigo a.k.a kumgegeda... Yaani we umelamba usiku kucha halafu umeamka asubuhi na kuja kupost kuwa hukumpenda... Kwa nini uligegeda..??
 
nilimgegeda kwa kua nilichoma mafuta ya kiserikal
 
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.
eeh ulitaka mnene..mwembamba sio mzuri,duh!!pole ila mwanaume hasusii
 
Du unafuata K DSM kwa online flirting tu? Inanikumbusha mdada wa Kitanzania alikutana na online dating. Wakawasiliana weee hadi binti akakubali akamfuata jamaa majuu maana wakati ule unachonga shule na unapata visa (mambo yalikuwa si magumu kama siku hizi za ughaidi na mambo bla bla). Jamaa alikuwa anamtumia katika email picha za nyumba kali, maisha makali, na akisema ana kazi nzuri ile mbaya!!!! Binti akaomba leave without pay akapanda pipa!!!! Airport alipokelewa na rafiki wa yule jamaa!!!!! Binti roho ikadunda ni kwa nini!!!! Kumbe jamaa alikuwa ni kilema wa miguu yote miwili kwa hiyo ni kama alikuwa anatafuta mwanamke aishi naye ili amtunze!!! Mshahara wake ilikuwa ni Welfare benefits to disables!! Yule binti almanusura azimie!!!!! Hii ndo online flirting!!! Mwishowe, alienda ubalozini kuungama dhambi na akarejeshwa nchini (it was 1990s).
 
aheli angekua mwembamba hao nawakubali, lakini sura na picha alizokua ananitumia ni tofauti na yy. pia hana mvuto kwangu.
 
aheli angekua mwembamba hao nawakubali, lakini sura na picha alizokua ananitumia ni tofauti na yy. pia hana mvuto kwangu.

Mkuu picha za awali ni zake sema za utotoni, si unajua tena ukubwani mambo yamekataaaa. Tafadhali msetiri mwenzio wewe unafikiri kama angekutumia picha za sasa ungechoma mafuta ya kodi zetu...uwe mtu wa huruma si unajua kibaya au kizuri ule na mwenziooooooooooooooooooooo??????????????????????
 
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.
kuna siku mtakutana na majini umalaya samtaki kuacha shauri yenu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom