Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Mapenzi ya Jf Yamenitokea Puani

Status
Not open for further replies.
hahahhahahahaha uwiiiiiiiiiiiiii mkiwa mnatongozana muwe mnatushirikisha maana malalamiko yamekuwa mengi.
 
cyo hivyo huyu dem ananituc san kwa kua nime run
 
Ungeacha kunbanjua. mbona dar zipo sehemu ambazo unapata umtakaye!?. Kwani ukilala na mtu lazima umduu?. mia
 
na ungekuta hakuna kitobo si ndo ungepagawa kabisa .......kelewuiiiii mbavu zangu mie.
 
hay! vjana wa jf,
najua mungu anatupenda na kutulinda
namshukuru kwa hilo.
juzi kati nimetokewa kupendwa na msichana humu jf, lakini yaliyonikuta ni makubwa.
coz alikua ananitumia picha nzuri sana nikajua nimepata mrembo, lakini yeye yupo dar na mm mbeya, bac bwana nikafunga safari mpaka dar, nikafika mida ya saa nne ucku, nikakuta mrembo kakodi hotel nikabanjuka kijana, nikanyoosha goti.
lakini jamani binti mwenyewe alikua tofauti na picha alizokua akinitumia.
kiranga changu nikamwambia mbona c yy coz ule urembo niliokua niiuona co. alikua anatisha coz wembamba ulikua umezidi, kiukweli nilimOgopa. nilipo ondoka nikawa nimekata mawacliano.
c ndio nikaanza kupokea msg za matuc kutoka kwake, amenitukana sana eti nilikua nataka kumchezea.
lakini haikua nia yangu coz alikua akinidanganya ata katika picha. ambazo c zake,
nilikua napenda kina dada muwe wakweli.
mcweke pic ambazo c zenu.

Mzinzi mkubwa. Ndo ukome kupenda picha. Mia
 
cyo hivyo huyu dem ananituc san kwa kua nime run
Da humu JF kiboko kumbe wenzetu mmeshaanza banduana zamani.
Mm nilijua ni kupost tu na kudanganyana mara kuinguia Chumvini mara kater*** kumbe kuna Practicle za kweli
halafu umemalizia vizuri huyu dem ananituc san kwa kua nime run tudadavulie anayekutusi keshaingia kwenye Thread hiiihii? maana naona km wote wamekutusi sasa mMention kabisa hata kwa ID tuyamalize kwa kuhukumu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom