Mapenzi ya ajabu kweli

Mapenzi ya ajabu kweli

Sasa huyo anaekupenda utakuta huna hata hisia nae na ukijifosi kuwa nae ni kama unajitesa roho, mimi nahic hii phenomena inasababishwa na mapepo coz si bure hii ni laana na inawatafuna watu wengi sana, yani ukipata MTU mnaependana sana at the same rate na mkadumu na kuvumiliana mpaka kifo you're sooooooooooo lucky..chances za kumpata MTU kama huyo ni 1 in a 100 million Paprika
Kweli kabisa... Not fair
 
Very true kabsa yan hata kwangu inatokea napenda nisipo pendwa ila kuna wa kunipenda lakini simpendi inabidi tukomae ivo ivo tu
Unakuta mtu anayekupenda we humpendi unapenda mwingine, na huyo hakupendi anapenda mwingine na yeye hapendwi anapendwa mwingine. Yaani utakuta ni foleni ya wanaopenda wasipopendwa mpaka basi. Wachache sana imetokea wanapendana bila kupenda kwingine esp wanaume.

Sasa inatokea unasubir sms kwa unayempenda sana ila hakupendi inapoingia unakuta sio yeye bali ni ya yule anayekupenda ila we humpendi. Unaona kama inaboa hivi wakati mwenzio na yeye anasubir majibu kama wewe unavyosubir kwa unayempenda. Yaani ni shiiiiida kweli, ivi ishawahi kuwatokea?
 
pole sana, ila ukija kukata tamaa yeye ndo anaanza kukaba penalty
Alafu sasa kuna kwann unaiona
.. Yaan kuna mtoto mwingine anakwenda nusu kaputi kabisa akiskia leo namuacha
Nina hasira nashindwa nifanyeje huyu mwingine anipende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom