Mapenzi ya ajabu kweli

Mapenzi ya ajabu kweli

Ukishajua hupendwi mahala hakuna haja ya kuwa kinganganizi,kubali matokeo tafuta upendo kwengine
 
Kwangu ni bora mtu anipende... Ntampenda tu baadae. Ishu ya mimi kumpenda asie nipenda wala siwezi aisee!!! Ntaumia moyo kila siku.
Unaongea tu paprika na iyo kitu ni ngumu sana zat y unawabania wote wanaokutokea ambao ujawapenda
 
Unaongea tu paprika na iyo kitu ni ngumu sana zat y unawabania wote wanaokutokea ambao ujawapenda
Simkatalii mtu sababu sijampenda...
Love is born, it grows and it dies!!! Ni kama living thing. Nikiwa na mtu anaenioenda najua baada ya mda ntampenda pia.
Wazazi wetu walikutanishwa tu kwenye ndoa ila wakaja pendana mpaka leo hii...
 
nipo hapa kitandani ninaye mpenda nampigia simu iko bize na wasap yupo online ila nisiye mpenda msg zake na missed call zmejaaa
 
Mapenzi Mubashara kabisa.

Tena wakati unasubiri hiyo sms, chukua mirinda nyeusi ufungulie lock ya moyo wako ili damu isukumwe vizuri .
 
Kukubali kishindwa na kuendelea na anaekupenda...

Sasa huyo anaekupenda utakuta huna hata hisia nae na ukijifosi kuwa nae ni kama unajitesa roho, mimi nahic hii phenomena inasababishwa na mapepo coz si bure hii ni laana na inawatafuna watu wengi sana, yani ukipata MTU mnaependana sana at the same rate na mkadumu na kuvumiliana mpaka kifo you're sooooooooooo lucky..chances za kumpata MTU kama huyo ni 1 in a 100 million Paprika
 
kupenda usipo pendwa n maumivu, Ila kupendwa usipo penda nako ni kero asee, yaan unakuta mtu anakuganda mpk unaona kero asee, kila saa text, kila saa anataka muongeee akipiga simu mud yote inaharbika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom