Mapenzi ya ajabu kweli

Mapenzi ya ajabu kweli

Kwa mtu ambaye ame experience na mambo ya mapenzi, lazima atakubaliana na wewe mkuu, binafsi nakubaliana nawe…sijui huwa ni pepo gani linalosababisha hali kama hiyo kutokea …!
 
Inabid tuwe tunajitoa ufahamu tu kwenye mapenz hayanaga kanuni
 
sasa nikikubariki nitakuwa tena adui
Sasa ukimpenda rafiki yako utapata nini? Maana ata wazinzi, majambazi, wachawi, wesengenyaji nao wanao marafiki zao wanapendana hivyohivyo..!
Mimi ngoja nikubariki wewe my enemy..!
 
Nadhani hata tafsiri ya mapenzi ina utata. Kila mtu anatafsiri anavyo yajua!
 
Unakuta mtu anayekupenda we humpendi unapenda mwingine, na huyo hakupendi anapenda mwingine na yeye hapendwi anapendwa mwingine. Yaani utakuta ni foleni ya wanaopenda wasipopendwa mpaka basi. Wachache sana imetokea wanapendana bila kupenda kwingine esp wanaume.

Sasa inatokea unasubir sms kwa unayempenda sana ila hakupendi inapoingia unakuta sio yeye bali ni ya yule anayekupenda ila we humpendi. Unaona kama inaboa hivi wakati mwenzio na yeye anasubir majibu kama wewe unavyosubir kwa unayempenda. Yaani ni shiiiiida kweli, ivi ishawahi kuwatokea?
Kwa jinsi maisha yalivyonishibana sina hamu na mapenzi
 
Unakuta mtu anayekupenda we humpendi unapenda mwingine, na huyo hakupendi anapenda mwingine na yeye hapendwi anapendwa mwingine. Yaani utakuta ni foleni ya wanaopenda wasipopendwa mpaka basi. Wachache sana imetokea wanapendana bila kupenda kwingine esp wanaume.

Sasa inatokea unasubir sms kwa unayempenda sana ila hakupendi inapoingia unakuta sio yeye bali ni ya yule anayekupenda ila we humpendi. Unaona kama inaboa hivi wakati mwenzio na yeye anasubir majibu kama wewe unavyosubir kwa unayempenda. Yaani ni shiiiiida kweli, ivi ishawahi kuwatokea?
Kwa jinsi maisha yalivyonishibana sina hamu na mapenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom