Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Ulishawai kupendwa usipopendaEm subiri kwanza
Ulishawai kupendwa usipopendaEm subiri kwanza
Amna, sijawahiUlishawai kupendwa usipopenda
Em subiri kwanza.Amna, sijawahi
afadhali ! adui muombee njaaaAsikwambie mtu aisei..![]()
Emu okoka tu, utaacha kulaani utaanza kubariki maadui zako.afadhali ! adui muombee njaaa
sasa nikikubariki nitakuwa tena aduiEmu okoka tu, utaacha kulaani utaanza kubariki maadui zako.
Sasa ukimpenda rafiki yako utapata nini? Maana ata wazinzi, majambazi, wachawi, wesengenyaji nao wanao marafiki zao wanapendana hivyohivyo..!sasa nikikubariki nitakuwa tena adui
Hakuna kama Arabian queen wangu, atakaemkwaza na alaaniwe!Hahaha,ndo itabidi ukubali tu matokeo



Ukishapenda usipopendwa ndipo utajua huwezi achana na mapenz kirahis kama usemavoUkiona mapenzi yanakusumbua, achana nayo fanya mambo mengine.
Mimi niliwahi kumpenda hasiyenipenda baada ya kuhangaika naye sana. Nikaamua ku give up.Ukishapenda usipopendwa ndipo utajua huwezi achana na mapenz kirahis kama usemavo
Kwa jinsi maisha yalivyonishibana sina hamu na mapenziUnakuta mtu anayekupenda we humpendi unapenda mwingine, na huyo hakupendi anapenda mwingine na yeye hapendwi anapendwa mwingine. Yaani utakuta ni foleni ya wanaopenda wasipopendwa mpaka basi. Wachache sana imetokea wanapendana bila kupenda kwingine esp wanaume.
Sasa inatokea unasubir sms kwa unayempenda sana ila hakupendi inapoingia unakuta sio yeye bali ni ya yule anayekupenda ila we humpendi. Unaona kama inaboa hivi wakati mwenzio na yeye anasubir majibu kama wewe unavyosubir kwa unayempenda. Yaani ni shiiiiida kweli, ivi ishawahi kuwatokea?![]()
Kwa jinsi maisha yalivyonishibana sina hamu na mapenziUnakuta mtu anayekupenda we humpendi unapenda mwingine, na huyo hakupendi anapenda mwingine na yeye hapendwi anapendwa mwingine. Yaani utakuta ni foleni ya wanaopenda wasipopendwa mpaka basi. Wachache sana imetokea wanapendana bila kupenda kwingine esp wanaume.
Sasa inatokea unasubir sms kwa unayempenda sana ila hakupendi inapoingia unakuta sio yeye bali ni ya yule anayekupenda ila we humpendi. Unaona kama inaboa hivi wakati mwenzio na yeye anasubir majibu kama wewe unavyosubir kwa unayempenda. Yaani ni shiiiiida kweli, ivi ishawahi kuwatokea?![]()
Mbona uwa inatokea sana unakuta mtu kuna mtu anakupenda but we ata hisia nae ni nei jadungaAmna, sijawahi