Heri yakoNot once!
upendo/upendo usio wa kimahaba.Mapenzi ya wazazi,watoto na ndugu je?
Basi utakuwa na ka experience ka kutosha, vipi kuhusu kumuumiza mtu ulishawahi? Najiulizaga sana hili swali kwanini hakunaga usawa katika mapenz? Unaweza mpenda mtu head over heels ila at time amekuzoea anapunguza upendo. Sijui what happensNot once!
Something that can't destroying u makes u strongerIla tunajifunza katika hayo,.unajua kuna kipindi lazima upitie maumivu flan ambayo huja kukuimarisha kwa wakati ujao,...hata mapenzi pia ni vivyo hivyo japo ni tofauti kidogo kwasababu yanagusa hisia moja kwa moja.
Nimekuelewasiwezi kujibu hili direct maana ni swali pana hili, ila elewa hivyo..
ww ktk nguo ulizonazo najua kuna nguo unazozipenda sana hata itokee umenunua mpya leo kama hujaipenda kuliko ile ya mwanzo nna unaweza ukaifanya ya kudekia hiyo mpya kabla ya ile ya zamani unayoipenda.
Mish you more! Naona tu mahaba niteketeze.Eti eeeehh!?mi mish uuuu
Kabisaaa,..Something that destroying u makes u stronger
Mmh!Kabisaaa,..
Nina mahaba na pesa balaa.Etiiii?!!!madameee
Wapenda pesa kama mfuko!
Hahahaaa!the lucky one....
Eeehh!ndiyo Ila nilikua bado mdogo ananipenda mimi mwanafunzi nilikua nasomaa sasa!nisingeweza hata kidogoBasi utakuwa na ka experience ka kutosha, vipi kuhusu kumuumiza mtu ulishawahi? Najiulizaga sana hili swali kwanini hakunaga usawa katika mapenz? Unaweza mpenda mtu head over heels ila at time amekuzoea anapunguza upendo. Sijui what happens
something that CAN'T destroy will make you stronger.Something that destroying u makes u stronger
ukiona hivyo ni penzi jipyaaaa likishakua Henga hayo mawazo yatapotea automaticalyDaby hisia ambazo zinaweza kuleta matatizo makubwa ktk jamii hisia gani hizo?
I don't understand it!!unajikuta unamuwaza mtu muda wotee tuu!