Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Hahaaaaa!lohh!hata wanawake tunachunwa?
Yeah ukipenda mahali huwez kwepa kuhudumia.

Unajua hisia za mapenzi ni za kipuuzi sana maana its like unakuwa locked kwa mtu flani, hutaki kuona mwenzio hana raha na lolote utafanya ili umfurahishe tu hata mambo yanayokuumiza. Thats real love,,imeghubikwa zaidi na sacrifice ndio maana ukiona mwenza wako haoni umuhimu wa kuji sacrifice tena kwako its likely mapenzi yashaisha yamebaki mazoea tu.

Thats the point unafikia unakuwa unalalama tu mbona umebadilika, mbona hivi...mbona vile maana unayempenda hajali tena. Hapo ndipo uchungu wa mapenzi ulipo! Utajuta!

Kumpata mtu wa kuthamini hisia zako milele ni ngumu ndio balaa lilipo ndio maana naona rafiki wa kweli pesa tu.
 
Yeah ukipenda mahali huwez kwepa kuhudumia.

Unajua hisia za mapenzi ni za kipuuzi sana maana its like unakuwa locked kwa mtu flani, hutaki kuona mwenzio hana raha na lolote utafanya ili umfurahishe tu hata mambo yanayokuumiza. Thats real love,,imeghubikwa zaidi na sacrifice ndio maana ukiona mwenza wako haoni umuhimu wa kuji sacrifice tena kwako its likely mapenzi yashaisha yamebaki mazoea tu.

Thats the point unafikia unakuwa unalalama tu mbona umebadilika, mbona hivi...mbona vile maana unayempenda hajali tena. Hapo ndipo uchungu wa mapenzi ulipo! Utajuta!
Lakini kweli eti!

Nilishuhudia kaka mmoja anachoma furnitures za mpenzi wake kisa kumfumania!
 
Mapenzi ni hisia kali ambazo kwa lugha ya kawaida huwa ni ngumu kuelezeka .

I really missed you,Geni. Hope you know how much I'm really down with you since day one. sitokuja kukusahau maisha yangu yote.
 
Lakini kweli eti!

Nilishuhudia kaka mmoja anachoma furnitures za mpenzi wake kisa kumfumania!
Shida ni kwamba mapenzi yakifikia peak wivu unatawala na ile hali ya kutaka kuwa unammiliki mpenzi wako na kutaka uhakika kuwa haushei na mtu. Kwa waelewa huwa atafurahia hii hali na kukuelewesha kuwa rest be assured niko real na wewe no games kwa maneno na vitendo ili wivu upungue.

Wengine ndio inakuwa fimbo ya kukuchapia, ataanza nyodo za kila aina at last ni usaliti tu. Hajali umejitoa kiasi gani kwake ye anakuona kama huna kazi labda tu inabidi umuwaze yeye tu. Mwishowe ndio unakuta hasira mtu anakunyag'anya vitu vyake kwa hasira baada ya kumnyanyasa sana kihisia. Point of no return!
 
Back
Top Bottom