Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,790
- 22,199
Bila shaka ni wazima mpaka mnasoma hapa.
Hiki kitu aisee ni cha ajabu ni kama kinajicontrol chenyewe kwa namna fulani ya ajabu sana.
Kipindi ambacho unahitaji mwenza wa kuanza naye safari ya maisha, hupati hata ile ng'o.
Lakini kipindi unatongoza hovyo wengi wanajirahisisha, wife material wanakua wengi tu ila kipindi cha kutaka mwenza serious wote eidha wanakua na watoto tayari au washaolewa.
Yani ni kama vile nature inataka uendelee kua kitombi tu.
Haya basi mimi ni nani nipingane na nature, kama upo tayari kubadili hii hali ewe "ke' wa hapa jf karibu PM.
Sina sifa wala vigezo nitakavyo.
NOTE: SILIPII TANGAZO.
Hiki kitu aisee ni cha ajabu ni kama kinajicontrol chenyewe kwa namna fulani ya ajabu sana.
Kipindi ambacho unahitaji mwenza wa kuanza naye safari ya maisha, hupati hata ile ng'o.
Lakini kipindi unatongoza hovyo wengi wanajirahisisha, wife material wanakua wengi tu ila kipindi cha kutaka mwenza serious wote eidha wanakua na watoto tayari au washaolewa.
Yani ni kama vile nature inataka uendelee kua kitombi tu.
Haya basi mimi ni nani nipingane na nature, kama upo tayari kubadili hii hali ewe "ke' wa hapa jf karibu PM.
Sina sifa wala vigezo nitakavyo.
NOTE: SILIPII TANGAZO.