Ndiyo ipoje...😂😂😂😂 ngoja nisome uzi ila kwa haraka haraka ni ile level ya juu
Kausha basi😂😂😂😂Ndiyo ipoje...
Wakati ulinisimanga kwani nataka kuoa...
Kwakweli kwa genye tu nimebarikiwa
Nilidhani majukumu yakiongezeka genye zinakata, wewe ndio zinaongezeka.
You know what to do Ili nikaushe...Kausha basi😂😂😂😂
Let me do the needful… 🥳You know what to do Ili nikaushe...
Mambo sii haya Sasa... 💕💖Let me do the needful… 🥳
Pesa inapatikana kwenye penzi imara na kama dini napiga chini cjali watasema nini mradi niwe na ayala wanguUnapata tena vizuri TU lakin kama siyo pesa bas utofauti wa dini utawatenganisha
🤛🤛🤛 my ❤️Kama ilivyo msimu wa mvua, msimu wa baridi, kiangaz nk: Kupanda mahindi msimu wa kiangaz ni kujitakia😥
Mapenz nayo vivyo hivyo, msimu wa mapenz motomoto (ndo linaanza sasa), msimu wa mapenz vuguvugu (yaliyopoa), msimu wa mapenz ya kuvumilia a(hapa watu hujilazimisha kuendelea kuwa wapenzi)
Mkipita vipindi vyote Ivo ndo ufanye maamuz kama ni kuoana au kubebeana mimba au kujengeana nyumba maana mnakuwa na uhakika kwamba kweli mmeshibana. Siyo penz limewaka tu tayari umebeba mimba, umemnunulia gari yakipoa tayari lawama kibao.
Hakuna kisicho na mwisho bana. Uhai wenyewe una mwisho wake sembuse ......😆🙌
Soulmates wapo na ni hawa hawa- Sema ndiyo Kila binadamu ana mapungufu yakehivi kwenye mahusiano ya kimapenzi hakuna wanaobahatika kupata SOUL MATE au ni sawa na kuokota dhahabu kariakoo?
Unaonekana ODO meter haijafika mbali😋Umenikumbusha mbali, penzi langu jipya miaka ya 2011.... nlikua napelekewa moto utadhani nimejiajiri nikiinuka ni miguu inatetemeka hata kutembea siwezi 🙂