mapenzi na wanafunzi mhhhmh....

mapenzi na wanafunzi mhhhmh....

chief72

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
627
Reaction score
309
nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti
 
nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti

..............Pole yake sana huyo jamaa yako. Hapo kwenye red kuna uhusiano gani na kupata kwake gonorrhea? kwani umeambiwa handsome ndo hapati gonorrhea au? huo u-handsome unaupimaje?. Muache tu apate hilo gonjwa kwa kuvidandia vitoto vya watu halafu hana hata ustaarabu wa kutumia kinga, mshauri akachek na ngoma kabisa.
 
Kama hivyo akapime na HIV kabisa...kwani watalaamu wanasema hayo magonjwa yanamahusiano ya KARIBU MNO...mpeni pole huyo jamani....alikuwa hashangai watoto wadogo wazazi wao maskini lakini wanamiliki APPLE, BB, na hata usafiri... hayo yote magonjwa....huruma jamani....
 
hahaha ukiwa handsome hauugui eeeh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ukiwaona mtaani wamevaa nguo za shule utafikili bado vitoto havijui mambo kitokee mida ya jioni afu kikupe mashine yake. Vitoto vimesha jifunza mambo some time unabaki unashangaa course ya sex amejifunzia wapi
 
nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti

hiyo gono imeingia hivyo hivyo kavu kavu.....au imeambatana na mashoga zake wakina Human immunodeficiency virus........?
 
Mh size yake huyu ni mmoja ya wanaotafutwa na Kawambwa, maana hana tofauti na yule aliye mpatia hiyo gono huyo bint.
Ndio wanaowafanya mabinti zetu wazungushe round about hawa!
 
mpaka akifikia umri wa kuolewa anakuwa garasha
 
nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti
Unajua hawa wanafunzi ni wageni kwenye mambo ya sex,ukweli ulivyo wanatabia ya kusikilizia ile kitu na kibaya zaidi Nye**e zinapokuwa zimewapanda hawana ujanja wa kukataa kushughulikiwa bila condom,just imagine kama wanawake watu wazima na akili zao zikishawapanda wanashindwa kuwa na maamuzi inakuwaje kwa mwanafunzi wa kike!
 
Ukome kutembea na under 18.. Na kuharibia watoto masomo yao .. Alaaaaaa

Ukikuta kila shimo kazi kuchovya chovya tuuuuu .. Ulideserve hyo na zaidi !

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti

hata mimba wanazichomoa sana tu, usiwatetee kwa hilo, me namfaham form 4 leaver (18 years) ameshatoa mimba 2times. Ukimwona ni mrembo na mpole ajabu. KAZI KWENU WAOAJI.
 
Back
Top Bottom