nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti