mapenzi na wanafunzi mhhhmh....

mapenzi na wanafunzi mhhhmh....

nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti

Handsome ametahiriwa upya na kabinti ka high school, sasa inabidi awe anasafisha mtarimbo na eusol halafu awe anafunga bandeji kama alivyotahiriwa mara ya kwanza. Pia aanze dozi ya antibiotics.
 
Bakora kuchapa tope si shida tatizo pale tope zinapokurukia na kukuchafua:high5:
 
si useme ni wewe uliyeambukizwa hilo GONO? umeshapima na V.V.U (vina vya ukweli)!
 
Kiyasi chake hicho alichopewa fisadi wa watoto wa wenzie,wazazi wao wanajitahidi kupeleka mtoto wao shule wewe ndio unajitia kishoka,subiri na wako aliwe....
 
Ukiwaona mtaani wamevaa nguo za shule utafikili bado vitoto havijui mambo kitokee mida ya jioni afu kikupe mashine yake. Vitoto vimesha jifunza mambo some time unabaki unashangaa course ya sex amejifunzia wapi


Kwa watu wenye tabia kama zako, msio na haya kazi yenu kutuharibia mabinti zetu, shi*nzi
 
inaonyesha ni wewe mwenyewe na c rafiki yako!we uludhani lile tangazo la'TUPO WANGAPI?'ni mchezo wa redio?au ulidhani haliwahusu madenti na ma handsome?hebu kapime NGOMA kwanza na bahati yako kama utakuwa salama.
 
form 1 sahiv anakwambia kama huna gari na bado unasoma c type yake... utandawaz balaa
 
nimegundua mahusiano na watoto wa kike wa sekondari ni hatari kuliko hata kuwa na mahusiano na ma baamedi, leo jama angu na u-handsome wake ametuadisia alivo ambukizwa gonorea na ka form six leaver,last week....wanafunzi siku hizi wana multiple relation za nguvu bila hata ya kujali afya zao, kubwa wanalokuwa nalo makini ni mimba tu, wanawazidi hata ma baamedi ambao wengi wao si rahisi au niseme ni nadra sana kutembea nao bila kinga(ndom) jamani tuwe makini hali si shwari kwa hivi vi denti

mlikuwa mnadhani madenti ndiyo wapo safe siyo? kalaghabao!!!!!!!!!
 
Hivi vi dent vinathamin sna ngono kushinda chochote kile maana vinakua havijajua maisha bdo wao wanataka starehe tu nilikua nako kamoja aisee nilipungua maana ilikua 7/7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom