Mapenzi na Pesa: Utata wa Uaminifu

Mwl.RCT

Platinum Member
Joined
Apr 5, 2009
Posts
15,706
Reaction score
22,586
Audio:
Your browser is not able to play this audio.

Chanzo:
 
Sheria ya wanaume kamili inakataza kuendelea na mahusiano na mwanamke ambaye tayari kaonesha hisia kwa mwanaume mwingine.Ikiwa wewe ni mwanaume kamili piga chini huyo malaya mpya.
Usimpe laini yako,toa pesa zilizopo kwenye line mkabidhi.
Ukiwa una akili timamu mueleze kuwa mahusiano yenu yameisha.
Endelea na maisha mengine.
Ukiwa bwege msamehe endelea kutunza na kuwekeza kwa malaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…