Nyumbani kwa baba mdogo wangu kila mara wafanyakazi wa ndani wanabadilishwa; kuja kuchunguza nikagundua dingi anawachezeaga rafu, maza akishtuka wanamtimua. Sasa huyu wa sasa ansumbuliwa sana anatishiwa kufukuzwa kazi amenifuata kutaka ushauri, Je, ampe kunusuru kazi au aondoke kurudi kijijini Singida?
Mshaurini wana JF.
Mshaurini wana JF.