Mapenzi mabaya sana, nilimfuma na mwanaume mwingine

Mapenzi mabaya sana, nilimfuma na mwanaume mwingine

Acha kumjudge kijana kwa namna hiyo, miaka mitano sio michache na huo muda unaosema wa "mguu pande" ni obvious ulikua umeshapita by then na most certainly walishaanza kuweka mipango ya maisha.
Break up baada ya committment ya muda mrefu maumivu yake si kwa sababu ya mapenzi tu bali na plans ambazo mliweka pamoja au plans ulizokuwa nazo juu ya mwenzako kuvunjika in an instant. Hivyo tuwe matured kidogo, jamaa anahitaji msaada sio kejeli


Sijui umetoa msaada gani sasa hapo. Watu wengine mnakaa kulalamika tu badala ya kufanya maaymuzi. Kwa hiyo wewe ulitaka aendelee kuumia kwa vile slishafanya commitment.

Suala hapa ni kwamba ameshatambua mapema huyo demu hamfai, achukue hatua ya kusonga mbele. Ayaweke kisogoni na kusahau. Pia atambue dunia ya leo sio ya kujiachia mzima mzima, utakuja geuka chiz siku ukitendwa.

Haya we endelea kulalama utadhan una ukoo na chama cha kijani.
 
Acha kumjudge kijana kwa namna hiyo, miaka mitano sio michache na huo muda unaosema wa "mguu pande" ni obvious ulikua umeshapita by then na most certainly walishaanza kuweka mipango ya maisha.
Break up baada ya committment ya muda mrefu maumivu yake si kwa sababu ya mapenzi tu bali na plans ambazo mliweka pamoja au plans ulizokuwa nazo juu ya mwenzako kuvunjika in an instant. Hivyo tuwe matured kidogo, jamaa anahitaji msaada sio kejeli

Dah nimekupenda bureeee
 
Hans Lema , miss chagga msaidie kaka yako huyu. Kuna imani kubwa kuhusu wanaume wa huko alikotokea huyu jama kuwa ni wapole sana...very naive! Yani kwangu hilo ni jambo dogo sana ila kwake atakuwa kalikweza sana..na kuhusu kujinyonga watu wa huko wala sio jambo gumu kuamua!


huyu kaka yangu bwana nimemshauri atafute pesa tu aisee .. naachanae na mademu akiwa na pesa watamganda tu
 
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.


miezi 5 michache sana
 
Sema unatafuta mwanamke, umetumia mbinu hii ili uonewe huruma.
 
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.

Nenda insta umtafute mtu anaitwa mapenzinamahusiano atakusaidia
 
Wewe ni dhaifu and you will suffer for the rest of your life in the name of love coz there is no room for inferior people in planet love...believe me
 
No offense meant bro,
29 years na bado hujajua kuwa hakuna anayeweza kumtimizia mtu" kila kitu" ?
Kwa umri ulitakiwa uelewe kuwa mapenzi ya uaminifu sio jambo la kutimiziana kila kitu.
Jambo la pili, toa mawazo hafifu na hasi kuhusu mapenzi, mpenzi uliyekuwa naye hakuwa mwaminifu jipange sasa uoe maana kwa umri wako kwa mabinti wa Dar watakufanya ATM ili uwatimizie hicho unachoita kila kitu.
Acha kuwa na mawazo,hayo ndio maisha baada ya mapenzi.
 
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.

pole sana mkuu.. maisha ndo yalivyo.. huyo mtu bado hujamsameh ndo maan stil unastress,achilia moyo wako na umuombe mungu sana akupe moyo wa kusameh na kusahau
 
No offense meant bro,
29 years na bado hujajua kuwa hakuna anayeweza kumtimizia mtu" kila kitu" ?
Kwa umri ulitakiwa uelewe kuwa mapenzi ya uaminifu sio jambo la kutimiziana kila kitu.
Jambo la pili, toa mawazo hafifu na hasi kuhusu mapenzi, mpenzi uliyekuwa naye hakuwa mwaminifu jipange sasa uoe maana kwa umri wako kwa mabinti wa Dar watakufanya ATM ili uwatimizie hicho unachoita kila kitu.
Acha kuwa na mawazo,hayo ndio maisha baada ya mapenzi.
Nakubaliana na wewe mkuu, na cha kuongezea tu... hatma ya furaha ipo mikononi mwake!
 
Magufuli awapige ndani wanaume wote wanaolialia hovyo kwa kusalitiwa na wanawake kama huyu mleta mada.
 
Back
Top Bottom