Mapenzi mabaya sana, nilimfuma na mwanaume mwingine

Mapenzi mabaya sana, nilimfuma na mwanaume mwingine

Take your time to recover.....lakini try to move on utamsahau, toa mawazo ya kuwa wanawake wote wabaya
 
Pole
..

Maumivu yataisha...

Kisha tuliza akili utafute mwanamke bora....ukimpata uoe sio umgegede tu weeee miaka mitano utafikiri mnasomea udaktari

Kaka si alikuwa anamchunguza miaka mitano....
Teh teh hatimaye akamgundua kwamba ni kimeo
 
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.

miaka mitano unamkaza unalegeza papuche
chuchu..........ni umri wa mtoto kuzaliwa na karibu anaanza std 1....
kisa na.maana cha kumtumia mtoto wa mwenzio miaka 5 ni nini .pita hivi na utakaye mpata ukileta za kuleta anakufanyia zaidi ya aliyepita
 
Kumpa mwanamke kila kitu haitoshi. Unatakiwa uwe na uwezo wa kumridhisha mwanamke kimapenzi, fike kileleni kwa ufasaha, umdhani na kumtatulia shida zake. Mwanamke hata awe mvumilivu kiasi gani kama hafikishwi kileleni na mpenzi wake lazima atoke nje. Uwe na uwezo wa kumfikisha mwanamke bao1-3 kwa kila tendo kamwe hakuacha hata uwe maskini.
 
Ukitaka kupata mwingine na muishi vizuri, sahau kwanza habari za Ex wako, assume kama nothing had happened before, though it is hard.
 
yani umri huo unataka ujiue kisa umesalitiwa...je ukisalitiwa ndani ya ndoa......ndoazilizodumu si kwamba hawakufumaniana ila ni kusameheana na uvumilivu na kukombana msamaha .......
 
Naombeni msaada wana JF,

Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.

Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.

Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.

Je, hii hali niifanyeje initoke?

Naomba ushauri mzuri

Sitapenda matusi.

Mkuu,mara nyingine yakitokea hayo mshukuru Mungu,huwezi kujua kwanini yametokea mapema. Itafika mahali utakuja kugundua Mungu alikusudia yatokee hayo kwa faida yako.

Cha muhimu tulia na jishuhulishe na vitu vya kukukeep busy then tafuta pesa haswa huku ukimwomba Mungu akupe Mwanamke aliyetulia na anayefaa kuwa mke. Hutajuta tena.
 
Ya nini kutaka kukatisha uhai mbona wanawake wako wengi sn...
 
Miaka 5 anachunguza nini?
Ndio maana wamembebea kiulainiiiiii........na inawezekana jamaa alomwibia wala hakutumia nguvu nyingi



Kaka si alikuwa anamchunguza miaka mitano....
Teh teh hatimaye akamgundua kwamba ni kimeo
 
hans lema ukitaka amani, mke mzuri njoo kwa Bwn Yesu!!
Achana na uzinzi tubia zambi zako, mpe Bwn Yesu maisha yako atakupa Amani utulivu na mke mzuri saana!!
Kwa Bwn Yesu kuna mabinti wengi wazuri wanaomba wapate wenza wa maisha!!
Ubarikiwe kwa maisha mapya!!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa siku hz hata uwaogeshe kwa ulimi hawaridhiki..!! Kazi usaliti, kukuumiza n.k!!!
 
Nikupe pole,lakini pia chakufanya nikujichanganya na watu ili usiwe na muda wakumtafakari sana na pia ondoa kumbukumbu zake zote ambazo unazo...mwisho ni kuwa dawa ya mapenzi ni mapenzi.....ukiwa na mwanamke mwingine angalia vitu gani ulikuwa hufanyi kule sasa ufanye ila pia usiwe wewe unatumia muda mwingi kumfikiria nakumtafakari mwanamke ila yeye ndo anapaswa akutafakari,usiwe mtu wakueleweka.....
 
Back
Top Bottom