Naombeni msaada wana JF,
Nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu nae miaka mi 5,nilikuwa nampa kila kitu anachotaka,siku moja nilimkuta na mwanaume mwingine nililia sana yaani almanusra nijiue.
Tangu siku hiyo hamu yote ya kungoneka imekata yaani cna tena hamu na mwanamke sababu tangu niachane nae baada yakumfuma ni miezi 5 imepita ila mpaka sasa nakuwa nastress mpaka kichwa kinauma hadi leo.
Nataka nirudi katika hali yangu ya kawaida ya kuwa na mpenzi mwingine lakini apetait sina nao.
Je, hii hali niifanyeje initoke?
Naomba ushauri mzuri
Sitapenda matusi.
i have 29yrs old .....plsss help
me.
29 years? are u sure?
Mm nakushauri tafuta mke uoe achana na huyo sio mkweti tena yaan uoe maumivu ytapungua sana
Wewe sio mwanaume halisi,mwanaume huwezi kutaka kujinyinga au kujiua kisha ukaahirisha.
Kaka utakua ulimliza ndio maana amekuliza...hata Kama ulimpea kila kitu, inawezekana ulishamtenda kabla., sasa ndio ameamua kufanya hivyo. Uache kujitetea upande wako, demu hawezi cheat Kama hujamtibua.
hans lema ukitaka amani, mke mzuri njoo kwa Bwn Yesu!!
Achana na uzinzi tubia zambi zako, mpe Bwn Yesu maisha yako atakupa Amani utulivu na mke mzuri saana!!
Kwa Bwn Yesu kuna mabinti wengi wazuri wanaomba wapate wenza wa maisha!!
Ubarikiwe kwa maisha mapya!!
He....sabrina?!ndo jinale.
Mkuu kwa tabia zako hizo za kulia loa na kukombilia kujinyonga, subiri na watakutenda sana. Inakuwaje unajiachia mzima mzima kwa mwanamke? Kwa dunia ya leo ya kizazi cha nyoka unatakiwa ukae mguu pand, mguu mmoja nje na mwingine ndani.
Mwanaume ukikutana na hali kama hiyo haraka harak unafanya maamuzi na kusonga mbele. Huyo ni mchumba tu, vipi angekuwa mke? Acha uzrmbe, fanyaaamuzi na songambele na maisha. Unapenda kama kipofu, kama vile hauijui dunia ya leo!!. Endelea na maisha huku ukijua akili za wanawake zinatofautiana na pia zinafanana sana. Usisunori kushangazwa/kuduwazwa.
Tafuta demu mwingine uwndelee naaisha, acha kuhangaika na matukio. Likitokea na kupita basi, fanya maamuzi ya haraka na songa na kamwe usiwe na akili ndogo kama kile chama cha kijani