mapengo junior
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,135
- 276
kila kitu tunahimizwa tuwe tunafanya mazoezi...so mazoezi muhimu
ni maelewano tu nakuelewana kwenu ndo kutawafanya utapata majibu ya maswali yako
Nilibana nikaachia nilihofia kuachika......hahahahahaha
Si kwa wanaume tu ambao wanataka mapenzi kabla ya ndoa bali pia kwa wanawake. Wanawake nao wanataka wajiridhishe je huyu mwanaume ni rijali? Shake well before use.
Poa mbayaaa
hahahaaaaa kwanin nisifanye??? sins dhambi nyingne zaid ya hiyo
am not advocating for no sex before marriage or kuikubali.. kuna madem wawili nawajua baada ya kuingia ndoani, wa kwanza jamaa alikataaga sex hadi ndoa kufika ndani jamaa jogoo hapandi af ni ms**ge, wa pili jamaa karud zake toka UK in 2 months wakafunga ndoa .. kuzoeana kujuana akagundua jamaake ni sodomy si kitoto. thus sometimes inafaa sometimes haifai kwa kweli coz now hao gals wanahangaika kutafuta divorce kwa mbinde right now.
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi, ukimwambia no yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.