BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Dunia ya leo ndio ilivyo mambo ya kusubiri hadi ndoa ndio mfanye tendo la ndoa/mapenzi ni nadra sana siku hizi.
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi, ukimwambia no yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.
Last edited by a moderator: