Mapenzi kabla ya ndoa

Mapenzi kabla ya ndoa

Imekuwa kawaida kuwa mzinzi...cha ajabu asiyezini aonekana mshamba...!
Tatizo kubwa ni kuwa tunazini na watu lukuki na hadi kufikia ndoa inakuwa aibu...
Ukipata mdada/mkaka mwenye 25-30 aliyetembea na less than 5 umelamba dume..!
wengi ni double digits..
 
Siku hizi kupata bikira ni kitendawili so lazima utest kiasi gani mashine imekuwa used
 
Wengine wamekeketwa na wengine vigovi lazima ujiridhishe na bidhaa
 
hahahahahaha oohhhh God !!! me hapo no comment....Umeshinda nime surrender



Alafu mkiingia ndani mkakutana na kibamia mnarudi hapa kujiliza na kuomba ushauri...taabu kwelikwel
 
Yaani nimetoka kuachana na mwanamke wa 2 juzi baada ya kuniletea hizo story za NO SEX B4 MARRIAGE.. Yaani kwa karne hii ambayo wanawake wanaenda hospital mara nyingi kutoa mimba kuliko wanavyoenda kupima Malaria afu demu nimkubalie tu hiyo kauli yake thubutu.... Mie nakuacha hapo hapo on the spot ukinianzishia hizo story za kipuuzi
 
Yaani nimetoka kuachana na mwanamke wa 2 juzi baada ya kuniletea hizo story za NO SEX B4 MARRIAGE.. Yaani kwa karne hii ambayo wanawake wanaenda hospital mara nyingi kutoa mimba kuliko wanavyoenda kupima Malaria afu demu nimkubalie tu hiyo kauli yake thubutu.... Mie nakuacha hapo hapo on the spot ukinianzishia hizo story za kipuuzi

Hakuwa wako huyo ana wake!
 
Ni basi tu kwa vile neno la Mungu limechakachukiwa ndo maana vijana wanaona haiwezekani bila uzinzi(silaha kubwa ya lucifer)



Ukweli ni kwamba kila kitu kinawezekana kwa yy aaminiye.
 
pregnant-bride-portrait-african-woman-bridal-flowers-30785050.jpg
HAHAH si mchezo,, wenyewe wanaita KILIMO KWANZA HYO..
 
Back
Top Bottom