ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 53,275
- 122,383
Imekuwa kawaida kuwa mzinzi...cha ajabu asiyezini aonekana mshamba...!
Tatizo kubwa ni kuwa tunazini na watu lukuki na hadi kufikia ndoa inakuwa aibu...
Ukipata mdada/mkaka mwenye 25-30 aliyetembea na less than 5 umelamba dume..!
wengi ni double digits..
Tatizo kubwa ni kuwa tunazini na watu lukuki na hadi kufikia ndoa inakuwa aibu...
Ukipata mdada/mkaka mwenye 25-30 aliyetembea na less than 5 umelamba dume..!
wengi ni double digits..