ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,378
- 118,797
Imekuwa kawaida kuwa mzinzi...cha ajabu asiyezini aonekana mshamba...!
Tatizo kubwa ni kuwa tunazini na watu lukuki na hadi kufikia ndoa inakuwa aibu...
Ukipata mdada/mkaka mwenye 25-30 aliyetembea na less than 5 umelamba dume..!
wengi ni double digits..
Tatizo kubwa ni kuwa tunazini na watu lukuki na hadi kufikia ndoa inakuwa aibu...
Ukipata mdada/mkaka mwenye 25-30 aliyetembea na less than 5 umelamba dume..!
wengi ni double digits..