mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Alafu mkiingia ndani mkakutana na kibamia mnarudi hapa kujiliza na kuomba ushauri...taabu kwelikwel
umeona eehe?
Alafu mkiingia ndani mkakutana na kibamia mnarudi hapa kujiliza na kuomba ushauri...taabu kwelikwel
Kwa dhambi ya uzinzi wengi wetu tutaangamizwa nayo aiseee..... Make siku hizi ji fahari kuzini!!
Alafu mkiingia ndani mkakutana na kibamia mnarudi hapa kujiliza na kuomba ushauri...taabu kwelikwel
kuna wakati huwa najisemeaga hata Mungu angetupa amri tatu tu (usizini, usiibe na usiseme uongo) bado tungechemsha tu!!
Basi unaongea kiunyoonge kama ushawai vile..'pole sana mkuu'
Yaani nimetoka kuachana na mwanamke wa 2 juzi baada ya kuniletea hizo story za NO SEX B4 MARRIAGE.. Yaani kwa karne hii ambayo wanawake wanaenda hospital mara nyingi kutoa mimba kuliko wanavyoenda kupima Malaria afu demu nimkubalie tu hiyo kauli yake thubutu.... Mie nakuacha hapo hapo on the spot ukinianzishia hizo story za kipuuzi
Nakuunga mkono
i miss u ,.......
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi, ukimwambia no yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.
Nilibana nikaachia nilihofia kuachika......hahahahahaha
sanaaa km tumeanza jana
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi, ukimwambia no yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.
Utakuta unakuwa na rafiki ambaye unamuita mpenzi, ukimwambia no yaani tusikutane kimapenzi kabla hadi siku ya ndoa anakasirika.
Hivi kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa ni dhambi siku hizi?
Ni ushamba?
Mkiwa katika mahusiano ni lazima mapenzi?
Naona kama dunia imekumbatia uzinifu imeufanya ndio jambo jema, na jambo jema limekuwa ni baya.