Mapenzi haya kero nishaurini

Mapenzi haya kero nishaurini

Nachotaka tukiwa kazini mapenzi tuweke kando tufanye kazi kwa amani sasa hatua ya mpaka kutoagana
Kama hicho ndicho unacho taka unaamn ukiandika humu utakipata??? Wanawake wengi mtaishia kuchezewa badala ya kujenga future zenu

Yaani una miaka 32 alafu unalalamika kwa mzee wa miaka 65 kisa Mapenz au vijisent ivi uko serous kweli????
 
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada hua anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo. Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja , sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
Yale yale ya Mengi na Klynn
 
Mungu wa mbinguni akuokoe. Ila natamani nikwambie kitu. Japo unisamehe kama ntakukwaza dada. Kwa umri wako sio mdogo ila sio mkubwa kiasi cha kukata tamaa kufikia hatua ya kudate na mtu mzima hivyo. Kaa utafakari upya nn unataka kutoka kwa huyo mzee. Usiuze utu wako kwa sababu ya vijisent kwan kwa hivyo vijisent utaendelea kupoteza muda wa kufanya maendeleo. Ongeza muda wa kumtafuta Mungu kwa imani yako badala ya kuendelea kumtumikia shetan ambae pensen yake ni mauti. Mi nakuombea tena Mungu akuguse.
 
Binafsi nadhani kwa umri wako huo unatakiwa kutafuta stable relationship, sio kutafuta mtu ambaye kwa hakika hana future na wewe.
 
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada hua anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo. Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja , sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
Sasa unategemea mtu kama hyo awe na ww tu s ajabu anawazunguka ofisin wote afu nyie ndo mnshinda insta mnamsakama mke wa mengi hv kwan ukifanya kazi bila kuingiza mapenz hazifanyik et humuhurumii hata hyo mchumba wako jamn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom