Random selection..teh!Utamjuaje
Hizo random selection unaweza ukajikuta unaangukia kwa kimeo hatari bora uwe na mtu ambae akili yako na moyo wako unajua kabisa kwamba hakuna futureRandom selection..teh!
Really???Hizo random selection unaweza ukajikuta unaangukia kwa kimeo hatari bora uwe na mtu ambae akili yako na moyo wako unajua kabisa kwamba hakuna future
Really???
Hivi Khantwe kwa mtu wa 30-35yrs hapo ukiwa na mahusiano yasiyo na future si manake umekata tamaa? Unless labda kama mdada nae hataki mahusiano ya mda mrefu, maana kuna wanawake nao hawataki kuingia kwenye ndoa.Ni kweli, inaumiza unapokuwa umeweka matarajio kwa mtu ambae ni kimeo
Tunaweza kusema kukata tamaa kwa upande mmoja ila kwa upande mwingine tunaweza kusema ni kumove onHivi Khantwe kwa mtu wa 30-35yrs hapo ukiwa na mahusiano yasiyo na future si manake umekata tamaa? Unless labda kama mdada nae hataki mahusiano ya mda mrefu, maana kuna wanawake nao hawataki kuingia kwenye ndoa.
Ku-move on! Hapo sijaelewa.Tunaweza kusema kukata tamaa kwa upande mmoja ila kwa upande mwingine tunaweza kusema ni kumove on
Bahati mbaya sina maneno mengine ya kuelezeaKu-move on! Hapo sijaelewa.



Tabia mbayaBahati mbaya sina maneno mengine ya kuelezea![]()

My God. Shirika la Dini!Yaani ni zee moja hivi halina aibu limejibanza ofisini moja hivi ya shirika la dini baada ya kustaaf TRA