Mapenzi haya kero nishaurini

Mapenzi haya kero nishaurini

Yani we dada uko criaz au unatania? huyo ni si mume wa mtu jamani? lakini umemfungulia hadi thread ambayo nimesoma but hamna nilichoambulia duh, umri huo badala utulie umuombe Mungu akupe alie wako unapambana na wazee wa miaka 65 kama sio kutafuta laana ni nini khaaa
 
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada hua anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo. Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja , sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
Ndo umeona uje kunianshia uzi huku? Daaah Asante Sana. Au ulidhani Mimi huku sipo?

Asante Sana
 
😂😂 miaka 65 hapana kwa kweli labda anihonge BRABUS ,yani wewe una kazi bado unahangaika na vijisent vya wazee
83C31039-C0DC-4BBB-855A-0B2381253EA0.jpeg
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada hua anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo. Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja , sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
 
Umri wa mtu sio sababu ya kufikiri atajitambua hii ipo kwa wanawake na wanaume pia.
Maturity ina nafasi kubwa kwenye busara na kujitambua. Kinyume cha hapo mtu ana matatizo, hio hata kisayansi ndio maana makuzi yana hatua kulingana na umri. Ukikuta kijana wa miaka 16 kavaa kata unaweza kusema akikua ataacha ujana/utoto unamuendesha ila ukikuta jibaba lina 40+ linavaa kata k hapo unajua kuna tatizo mahali si bure.
 
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada hua anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo. Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja , sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
Cataliyya Uliponaga ule Ugonjwa wako wa Depression?
 
Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada hua anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka tukumbatiane (tushikane) sikukataa nikainuka ila nkamwambia niko period na kwamba imeanza ghafla, mzee akaondoka akijiuliza maswali hakuniamini akaniambia nna mpango wangu wakati kabla ya hapo alikua anavumilia hivyo hivyo. Sasa leo bosi akamwambia huyu baba na huyu dada anaejipitisha pitisha waende ofisi flani hivi pamoja. Wakati wanaondoka huyu baba akamuaga dada mwingine hapa ofisini
mimi hakuniaga ukizingatia wote tupo ofisini moja , sasa ni picha gani hii anaonyesha tukiwa kazini? Mnanishaurije?
Miaka 65 na bado yuko ofisini hajastaafu, na wewe 32 naendelea kumvizia tu mpaka leo!!!
 
Wewe na hao wenzio mnatumika kama vyombo vya starehe...

Acha niishie hapo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom