hapana kwakweli ila kama unampenda sana kuna haja ya kujua kosa lako liko wapi hadi akuache ivo huna budi kumuuliza kulikoni na sio kumng'ang'aniaHivi wanajamii mpenzi wako akikutumia meseji ya kukutaka muachane kunahaja ya kuendele kumng'ang'ania?
hahhaa umenikumbusha pipi za jojoyaaan namtema kama jojo
hasira hasara na mvumilivu hula mbivu.Hivi wanajamii mpenzi wako akikutumia meseji ya kukutaka muachane kunahaja ya kuendele kumng'ang'ania?