Namtamani lakini yuko mbali

Namtamani lakini yuko mbali

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
4,287
Reaction score
9,152
Unakuta unachati na mpenzi wako yuko mbali umemmiss

Hivi hakuna namna wanasayansi wakae wabuni mtambo spesho kwa wanao misiana , wa kutuma watu kama unavyotuma meseji kwenye simu?

yaani shaa umeenda kumla umerudi tena shaa
 
Unakuta unachati na mpenzi wako yuko mbali umemmiss

Hivi hakuna namna wanasayansi wakae wabuni mtambo spesho kwa wanao misiana , wa kutuma watu kama unavyotuma meseji kwenye simu?

yaani shaa umeenda kumla umerudi tena shaa
labda uchawi
 
Unakuta unachati na mpenzi wako yuko mbali umemmiss

Hivi hakuna namna wanasayansi wakae wabuni mtambo spesho kwa wanao misiana , wa kutuma watu kama unavyotuma meseji kwenye simu?

yaani shaa umeenda kumla umerudi tena shaa
Wazungu hawashindwi kitu wametangaza 2040 watazindua sexual distance live so kuwa mvumilivu
 
Back
Top Bottom