haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,823
- 4,557
CCM ebu tuwekeeni hapo Muhongo ili murudishe imani kwa wananchi huyu Majaliwa ni home boy kabisa na ni Mbunge wangu lakini kwa maendeleo mapana ya Taifa hili nataka awe Muhongo na hili nilisgasema hata kwa my home Rais aliyefanyiwa fitna na wachaga kipenzi cha Watanzania Mh. Membe alipoingia 5 bora na Magufuli nikasema kwa ajili ta nchi yangu bora apewe Magufuli.