Mapendekezo kutatua tatizo la Dollar Tanzania

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,754
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.


Gold inapanda bei Je bank kuu tunafaidika?

 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania
1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje
2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar
3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.
4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi
5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.

Tatizo vilaza ndiyo wana maamuzi ,wenye akili/mawazo mazuri hawana nafasi.
 
Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa
Hapa umemaliza yote! Kazi kwao kutekeleza au kukupuuza!
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania
1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje
2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar
3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.
4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi
5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
Naunga mkono hoja hasa hii point ya kwanza, imekaa vema.
 
Hapo ni 4 na, 5 tu, viwanda vingi vianziashwe, tatizo, ccm ni majambszi Sana, mwendazake na wapambe zake, Jafo na wemgine walitupigia makelele vyerehani vitatu ni kiwanda!

Wakasema upuuzi, mwingi Sana, laiti wangekuwa serious!

Badala ya kununua ma v8, wangejenga kiwanda kimoja tu cha kilimo,
Ukraine IPO Ulaya, na vitani lakini inauza ngano dunia nzima, sie tunashindwa nini kulima na kuuza mahindi,mchele, ngano Afrika nzima? Tanzania ilikuwa haihitaji Ikulu, kwanini hatukujenga ma ghala ya nafaka kama Yale ya Ukraine ya ngano, ghala kubwa kuanzia Morocco mpaka Africana,

Au, kahama mpaka masumbwe
 
Hadi mwisho wa mwaka 2023, dollar itafika 3000 kwa kasi hii inayoenda huku serikali bado inacheka cheka tu.
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
Nafahamu umuhimu wa serikali kuwa na hifadhi ya fedha za kigeni lakini je hifadhi hii ina changia kwa njia yoyote dhamani ya sarafu yetu?. Fedha za kigeni kutoka kwa watalii zinawezaje kuifikia serikali?. Changamoto ya matumizi ya dola bado haijawa kubwa na hata kama hali ingekuwa hivyo, sidhani kama sarafu moja kutumika Afrika Mashariki inaweza kutatua tatizo hili
 
Hadi mwisho wa mwaka 2023, dollar itafika 2300 kwa kasi hii inayoenda huku serikali bado inacheka cheka tu.
Mzee umedhamiria au umekosea?

Tunaitafuta 2,600 sasa.

Mpaka December 31, 2023 Mungu akipenda tutakuwa tushafika afu tatu inshallah.

Ngoja tuone waliokata mauno kwa nyongeza ya mishahara kama wataendelea kumwaga uno na wimbo wao, "anaupiga mwingi", "kapandisha madaraja", "kafungua nchi"

Waziri anasema dola ipo, Mkurugenzi anasema dola imeadimika....wote bado wapo ofisini.
 
Mimi nilifikiria kwenye ule mchakato wa kuuza bandari na maliasili nyingine tusisitize watulipe kwa dola
 
Kuna matakataka mengi hapo kariakoo tunaagiza kutoka nje

Hii nchi mpaka furniture tunaagiza nje
Stick tunaagiza nje.

Tunaagiza mafuta/mchele kutoka nje
Magari ya kifahari ya viongozi awamu tumekamuliwa tozo zimeenda kununua hizo v8.

Watu wameshaachana na biashara ya kilimo sababu yakukosa soko wengi wapo kwenye uchuuzi
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
5. Hapo wakiruhusu uraia pacha watu wengi waliozaliwa Tanzania wenye uraia nje watarudisha hela zao nyingi Bongo, in US dollars.

Lakini kabla ya hapo watu wanaona mnacheza tu, hata likizo wataenda Turks & Caicos.

Kwa nini nilete dollars zangu kwenye uwekezaji katika nchi ambayo haitaki hata kunitambua mimi kama raia licha ya kuwa mzawa?
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.


Dollar bado ni tatizo ni wakati wa gavana wa bank kuu kujipima kama anaweza kazi
 
Tutapata dollar pale mwenye dollar atakapohitaji vitu au huduma kutoka kwetu, ambapo atalazimika kubadilisha dollar yake ni kupewa Tsh. kwa ajili ya mahitaji yake.

Kwa hiyo tupambane kutengeneza mahitaji ya mwenye dollar; iwe ni kuchimba mafuta yetu; madini yetu; kuzalisha bidhaa zetu na kupeleka nje, iwe mazao au za viwanda; tuimarishe utalii; tuuze nyama nje n.k.

Lakini haya yote yatafanikiwa kama tutazalisha kwa ziada.​
 
Dollar bado ni tatizo ni wakati wa gavana wa bank kuu kujipima kama anaweza kazi
Hawezi kufanya mazingaombwe zikapatikana, zaidi ya kutumia njia za kubana matumizi ya manunuzi nje, ikiwa na maana ya kutunza zilizopo na si kuzalisha zingine.
 
Back
Top Bottom