Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania
1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje
2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar
3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.
4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi
5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
Gold inapanda bei Je bank kuu tunafaidika?
1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje
2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar
3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.
4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi
5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
Gold inapanda bei Je bank kuu tunafaidika?