Mapato ya TRA mwezi Juni yatashuka

Mapato ya TRA mwezi Juni yatashuka

Tatizo kubwa linalotuponza Watanzania ni uvivu wa kufikiri unaoambatana na ushabiki potovu. Kama TRA wamekusanya Trillion 1.03 kutoka Trillion 1.35 ya mwezi January iweje tuone hayo ni Mafanikio ? Tatizo hapa nikuwa Serikali inatuambia kuwa hii nchi ni tajiri sana lakini makusanyo ya kodi yanarudi kule kule kwa awamu ya JK ambako wanadai kulikuwa na uzembe katika kukusanya kodi. Sasa hapa badala ya wananchi kuchukua tahadhali, wapo watu wanafanya ushabiki kwa kupotosha ukweli.
 
Tatizo lako elimu elimu elimu..

Ujuaji ndio shida yenu ufipa hadi mnafanya utabili mambo ya uchumi bila kutoa data za kiuchumi...

Malengo ya ukusanyaji yanawekwa kwa kufuata vigezo vya kitaalam vya kiuchumi na sio kuwa wanaamka asubuhi wanasema mwezi huu tukusanye trilion 1.
Kwa hiyo vigezo vya kitaalam vya uchumi vinaonyesha uchumi umeporomoka kwa hiyo mapato yameshuka?
 
Hapo sasa....
Tatizo kubwa linalotuponza Watanzania ni uvivu wa kufikiri unaoambatana na ushabiki potovu. Kama TRA wamekusanya Trillion 1.03 kutoka Trillion 1.35 ya mwezi January iweje tuone hayo ni Mafanikio ? Tatizo hapa nikuwa Serikali inatuambia kuwa hii nchi ni tajiri sana lakini makusanyo ya kodi yanarudi kule kule kwa awamu ya JK ambako wanadai kulikuwa na uzembe katika kukusanya kodi. Sasa hapa badala ya wananchi kuchukua tahadhali, wapo watu wanafanya ushabiki kwa kupotosha ukweli.
Ap
 
Kumekuwa na maporomoko makubwa ya mapato ya TRA kutoka trilioni moja na bilioni mia nne Mwaka Jana wakati serikali ya awamu ya tano inaingia madarakani mpaka trilioni moja mwezi wa tano.Ni wazi mwezi wa sita TRA watatangaza mapato ya bilioni 900. Tunarudi kulekule kwa JK.

Ni ishara kwamba JK hakuwa mzembe bali mapato yalienda na upepo wa biashara,mwanzoni tuliaminishwa kwamba kuna wizi sijui wapi,sasa mbona na udhibiti wote ndani ya miezi sita mapato yameshuka kwa bilion 400? Zinakwenda wapi?zimepotelea wapi?

Kuna mtu Mwenye ubavu wa kuzikosoa jitihada za Kikwete kwenye kukusanya mapato na aamke nimuone.
Acha kunywa pombe , nikwamba ujui au unania fiche ili kuwachanganya watu, ukitaka kudaganya watu jidanganye ww mwenyewe kwanza , mbona hata ww kujidanganya haujajidanganya
 
Acha kunywa pombe , nikwamba ujui au unania fiche ili kuwachanganya watu, ukitaka kudaganya watu jidanganye ww mwenyewe kwanza , mbona hata ww kujidanganya haujajidanganya
Chama cha walevi kinafahamika.....bungeni na uraiani
 
Mkuu, hizo ni hisia zako tu ila ukweli unabaki kwamba TRA wanakusanya mapato kwa kuvuka malengo yao
Kenya bajeti trillion 55 ya Mwendokasi ya kufikirika 29
NB; Miaka kumi iliyopita bajeti ilikuwa hadithi haijawahi kutekelezwa na hii yaelekea ni huko huko
Pumzika kwa amani Bombambili
 
Tatizo lako elimu elimu elimu..

Ujuaji ndio shida yenu ufipa hadi mnafanya utabili mambo ya uchumi bila kutoa data za kiuchumi...

Malengo ya ukusanyaji yanawekwa kwa kufuata vigezo vya kitaalam vya kiuchumi na sio kuwa wanaamka asubuhi wanasema mwezi huu tukusanye trilion 1.

Acha porojo za kufubaa akili kwa kisingizio cha eti Elimu; Elimu;Elimu.
Ainisha hivyo unavyo viita vigezo vya kitaalam vya kiuchumi kama si kumezeshwa usilo lielewa na kulitafakari kwa uwezo ulio nao.

Hebu rudi kidogo darasani:
Ikiwa miezi minne iliyopita ulikusanya Tshs: 1450/= mwezi unaofuata Tshs: 1350/= baadae ukakusanya Tshs: 1200/= na mwezi huu umekusanya Tshs: 1050/=.
Kama kweli una akili timamu hujiulizi kulikoni na hiyo Elimu. Elimu. Elimu yako.
 
Hizi mada watawala hawazitaki....wanatafuta njia kuzikwepesha
 
Kumekuwa na maporomoko makubwa ya mapato ya TRA kutoka trilioni moja na bilioni mia nne Mwaka Jana wakati serikali ya awamu ya tano inaingia madarakani mpaka trilioni moja mwezi wa tano.Ni wazi mwezi wa sita TRA watatangaza mapato ya bilioni 900. Tunarudi kulekule kwa JK.

Ni ishara kwamba JK hakuwa mzembe bali mapato yalienda na upepo wa biashara,mwanzoni tuliaminishwa kwamba kuna wizi sijui wapi,sasa mbona na udhibiti wote ndani ya miezi sita mapato yameshuka kwa bilion 400? Zinakwenda wapi?zimepotelea wapi?

Kuna mtu Mwenye ubavu wa kuzikosoa jitihada za Kikwete kwenye kukusanya mapato na aamke nimuone.
Kumbe unahisi na kuombea hayo!! Mi nikajua kuna utafiti na pia tra wamesema!!
 
Mbona ttz inaongeza idadi ya mataila wengi kama nyie? Kisa kikwete alikaa had 2015 so ni haki magu akae 2025? Wewe unajua hta maana ya "haki" kweli????

Kwanza hoja apa ni mapato kushuka msianze kupotezea mada husika.
 
Kumekuwa na maporomoko makubwa ya mapato ya TRA kutoka trilioni moja na bilioni mia nne Mwaka Jana wakati serikali ya awamu ya tano inaingia madarakani mpaka trilioni moja mwezi wa tano.Ni wazi mwezi wa sita TRA watatangaza mapato ya bilioni 900. Tunarudi kulekule kwa JK.

Ni ishara kwamba JK hakuwa mzembe bali mapato yalienda na upepo wa biashara,mwanzoni tuliaminishwa kwamba kuna wizi sijui wapi,sasa mbona na udhibiti wote ndani ya miezi sita mapato yameshuka kwa bilion 400? Zinakwenda wapi?zimepotelea wapi?

Kuna mtu Mwenye ubavu wa kuzikosoa jitihada za Kikwete kwenye kukusanya mapato na aamke nimuone.
Hizi ramli za chagadema tulishazizoea tokea mwezi January.

Nyumbu kila kukicha wanaombea mabaya nchi yao.

Kwao mtaa wa ufipa ni muhimu kuliko nchi
 
Hizi ramli za chagadema tulishazizoea tokea mwezi January.

Nyumbu kila kukicha wanaombea mabaya nchi yao.

Kwao mtaa wa ufipa ni muhimu kuliko nchi
Kijana wa Lumumba unahangaika kupambana na ukweli....kosoa kwa data
 
Endeleeni kujiaminisha hilo. Mtasugua sana maana Magufuli ni Rais hadi 2025

Ikiwa hivyo bila faida wewe utanufaikaje? Mfano, sukari hakuna au bei inapoongezeka; wewe utakuwa unapata sukari na kwa bei gani? Hakuna asiyetaka hata atawale milele bali tija ya utawala wa mtu iwepo.
 
Ndio maana nimesema wanatudanganya wakisema wanavuka lengo.Wanatakiwa kutumia makusanyo ya mwezi uliopita kama kiwango chao cha chini.
Na bado awatoi mchanganuo wa mwezi uliopita kwa kusema mwezi uliopita tulikusanya kiasi ichi na mwezi huu tumekusanya kiasi ichi, na tofauti ni kiasi flani.Na waseme makusanyo yamepungua au yameongezeka.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom