Mapato ya TRA mwezi Juni yatashuka

Mapato ya TRA mwezi Juni yatashuka

Umetoa post kimihemuko sana. Umeambiwa mapato ya bandari yamekusanywa bilion 400 na ni ongezeko kwani zamani walikua wakikusanya kati ya bilion 200 mpaka 300. Ungekua kiongozi wa UKAWA kesho ungewashawishi vijana kuingia mtaani kuandamana kumbe mwenyewe hujaelewa
 
Hivi wewe Lizaboni ulitelekezwa na baba yako utotoni? Mbona hupati ukuu wa wilaya miaka nenda miaka rudi?
Hawrzi kupata kazi zaidi ya ya ile ya kupika chai lumumba kwani elimu yake ndiyo imeishia hapo
 
Kumekuwa na maporomoko makubwa ya mapato ya TRA kutoka trilioni moja na bilioni mia nne Mwaka Jana wakati serikali ya awamu ya tano inaingia madarakani mpaka trilioni moja mwezi wa tano.Ni wazi mwezi wa sita TRA watatangaza mapato ya bilioni 900. Tunarudi kulekule kwa JK.

Ni ishara kwamba JK hakuwa mzembe bali mapato yalienda na upepo wa biashara,mwanzoni tuliaminishwa kwamba kuna wizi sijui wapi,sasa mbona na udhibiti wote ndani ya miezi sita mapato yameshuka kwa bilion 400? Zinakwenda wapi?zimepotelea wapi?

Kuna mtu Mwenye ubavu wa kuzikosoa jitihada za Kikwete kwenye kukusanya mapato na aamke nimuone.
Kuna uzi mpya humu kuhusu mapato ya Juni. 1.4 trillions!
 
TRA YAVUKA LENGO LA MAKUSANYO YA KODI KWA MWEZI MEI 2016



MKamishna Mkuu wa TRA Bw. Alphayo Kidata akitilia mkazo jambo wakati wa kikao na waandishi wa habari kuhusu taarifa ya makusanyo ya mapato kwa mwezi Mei 2016,kilichofanyika katika Ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro, Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi Bw. Richard Kayombo na kushoto ni Meneja wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Abdul Mapembe.
*******************

Harudii tena. Msamehe mkuu
 
Back
Top Bottom