Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

We unazungumzia vita miaka hii? kwa mfano wakati uganda wenyewe waliharibu uchumi wetu vibaya mno na hapo walikua hawaelewani na iddi amini vipi sasa hivi utake mkono na nchi ambayo raia wake wanaipenda kwa hali na mali?

Mkuu we hujui tuu ila sio shughuli ndogo lazima turudi miaka 30 nyuma iwapo vita yoyote itatokea sasa na Rwanda.
Sijui nini kimekufanya uwe na kiburi namna hii kuwaona watu waliozoea vita kana kwamba ni vitoto vidogo sana yani...
Unadhani vita miaka hii haizungumziki au?Au unadhani vita siku hizi ni unaamka tu paap unaingia mnaanza kupigana nchi nzima.

Unajua kwanini watu wana invest heavily kwny intelligence?Nadhani umenielewa kidogo.
 
Hao jamaa si wako porini huko wanafanya biashara ya kukata mikaa,kubaka na kuteka Wacongo huko vijijini mkuu?Wale ni indispline hooligans tu with no international support wala chochote boss.

Hao sio serious threat kwa PK ila hua anatumia gia ya kwenda Congo kuwatafuta afu wanaingia kwny madini huko Congo wanapiga then nduki.
Wasingekua na nguvu namna hiyo wangekua eliminated mara moja sana kama kikundi cha wezi watatu wanne. We hujiulizi silaha wanapata wapi na nae anaewawezesha?
Hili ni changa la moto mradi ipatikane sababu ya kuchota mali za drc.
NB:Kabila sr ni sababu ya yote haya.
 
Unadhani vita miaka hii haizungumziki au?Au unadhani vita siku hizi ni unaamka tu paap unaingia mnaanza kupigana nchi nzima.

Unajua kwanini watu wana invest heavily kwny intelligence?Nadhani umenielewa kidogo.
Ndio maana nilikua nakuambia unajiamini kiasi gani namna hiyo mpaka uwadharau hao ndugu kiasi hicho?
 
Wasingekua na nguvu namna hiyo wangekua eliminated mara moja sana kama kikundi cha wezi watatu wanne. We hujiulizi silaha wanapata wapi na nae anaewawezesha?
Hili ni changa la moto mradi ipatikane sababu ya kuchota mali za drc.
NB:Kabila sr ni sababu ya yote haya.
Congo ni almost a failed nation,congo vikundi vya waasi vya kila taka Africa viko huko maporini kwa hio kusema wanapataje silaha wkt inajulikana biashara yao kuu wanayofanya ni kukata mikaa+mbao na kuuza na kununua silaha mbona hata sio kitu cha ajabu sana.

Mobutu ndiye aliyeleta yote hayo yote na sio Kabila sr cz baada ya FAR kukimbilia Congo na yeye Mobutu akaanza kuwa support wawe wana launch mashambulizi+kufanya training wakiwa ndani ya Congo ndipo PK na M7 wakaenda kumchapa wakamtoa madarakani na kuwawekea vikundi vya waasi ili nchi isitulie tuli
 
Yaani kabisa mtoto wa kiume unaandika bila aibu kuwa wakitoka huko waje na huku....yaani unategemea ukombozi wa nchi yako na mateso yako yaondolewe na Mtu mwingine ambaye hata hakujui......

Wao wameamua na kuona kuwa muda wa kulalamika na kulia lia umeshapita Sasa ni wakati wa kupigania kile wanachokitaka....wametambua kuwa jukumu la ukombozi wa taifa lao liko mikononi mwao na sio kwenye keyboard za computer au screen za simu......

Nyie endeleeni kuonyesha ushujaa mitandaoni na umahiri wa kutukana na kughadhabika huku siku zinakwenda....!!!!

Ukiona inatosha utachukua hatua!!!
Tulia wewe, usiwe serious sanaa
 
Congo ni almost a failed nation,congo vikundi vya waasi vya kila taka Africa viko huko maporini kwa hio kusema wanapataje silaha wkt inajulikana biashara yao kuu wanayofanya ni kukata mikaa+mbao na kuuza na kununua silaha mbona hata sio kitu cha ajabu sana.

Mobutu ndiye aliyeleta yote hayo yote na sio Kabila sr cz baada ya FAR kukimbilia Congo na yeye Mobutu akaanza kuwa support wawe wana launch mashambulizi+kufanya training wakiwa ndani ya Congo ndipo PK na M7 wakaenda kumchapa wakamtoa madarakani na kuwawekea vikundi vya waasi ili nchi isitulie tuli
Kwanza mobutu alishakufa kwa hiyo yote yangekwisha. Nasema kabila sr ni sababu ya yote hayo kwa sababu alikiuka makubaliano kati yake na rwanda na uganda na kilichomkuta unakijua na hakikuishia kwake tuu bali mateso kwa eneo la kivu.

Yani mkuu tukusaidie kukuingiza madarakani halafu utujeuke? NO lazima tukufundishe adabu.

Halafu sehemu zenye matatizo ni mashariki ya drc labda na makao makuu kishasa sehemu nyingine sioni shida sana hasa maeneo ya kusini mwa drc.

Hao fdlr changa la macho tuu ili ipatikane sababu ya kuwepo drc kuchota madini.
 
Kwanza mobutu alishakufa kwa hiyo yote yangekwisha. Nasema kabila sr ni sababu ya yote hayo kwa sababu alikiuka makubaliano kati yake na rwanda na uganda na kilichomkuta unakijua na hakikuishia kwake tuu bali mateso kwa eneo la kivu.
Halafu sehemu zenye matatizo ni mashariki ya drc labda na makao makuu kishasa sehemu nyingine sioni shida sana hasa maeneo ya kusini mwa drc.

Hao fdlr changa la macho tuu ili ipatikane sababu ya kuwepo drc kuchota madini.
Kwa hapa sina cha kubisha,100% nakubali.
 
ivi nyinyi mnaopiga kelele nyuma ya keyboard mbona wakati Muroto anatangaza kipigo cha mbwa koko hamkutoka nje?
wanaume mnalalama tu, mnaona wanaume wenzenu hao ,wametoka Kwenye camera, lakini wabongo kutwa majungu mara ooh jiwe mara lumumba.
jitoeni kimasomaso

Hahahaa...you made my day........wanaumee shime tumtafutie mzee baba dawaa
 
Kwanza mobutu alishakufa kwa hiyo yote yangekwisha. Nasema kabila sr ni sababu ya yote hayo kwa sababu alikiuka makubaliano kati yake na rwanda na uganda na kilichomkuta unakijua na hakikuishia kwake tuu bali mateso kwa eneo la kivu.

Yani mkuu tukusaidie kukuingiza madarakani halafu utujeuke? NO lazima tukufundishe adabu.

Halafu sehemu zenye matatizo ni mashariki ya drc labda na makao makuu kishasa sehemu nyingine sioni shida sana hasa maeneo ya kusini mwa drc.

Hao fdlr changa la macho tuu ili ipatikane sababu ya kuwepo drc kuchota madini.
Kinshasa kuna mapigano sehemu gani?
 
Congo ni almost a failed nation,congo vikundi vya waasi vya kila taka Africa viko huko maporini kwa hio kusema wanapataje silaha wkt inajulikana biashara yao kuu wanayofanya ni kukata mikaa+mbao na kuuza na kununua silaha mbona hata sio kitu cha ajabu sana.

Mobutu ndiye aliyeleta yote hayo yote na sio Kabila sr cz baada ya FAR kukimbilia Congo na yeye Mobutu akaanza kuwa support wawe wana launch mashambulizi+kufanya training wakiwa ndani ya Congo ndipo PK na M7 wakaenda kumchapa wakamtoa madarakani na kuwawekea vikundi vya waasi ili nchi isitulie tuli
Kila Africa ina vikundi vya waasi Congo? asee si mchezo
 
Kila Africa ina vikundi vya waasi Congo? asee si mchezo
Yani mkuu ni shida Rwanda waasi wake wako huko Congo,Africa ya kati,Uganda,Angola wakina savimbi walikua huko mpk Sudani kusini ina waasi wake wamejificha huko huko etc

Ile nchi ni kama haina mwenyewe mkuu.
 
Yani mkuu ni shida Rwanda waasi wake wako huko Congo,Africa ya kati,Uganda,Angola wakina savimbi walikua huko mpk Sudani kusini ina waasi wake wamejificha huko huko etc

Ile nchi ni kama haina mwenyewe mkuu.
Uzuri naijua vzr Congo na Rwanda ,hasa haya mamboz zao,siwezi ongea sana humu
 
Huwaga kunatokea machafuko mkuu nakumbuka miezi iliyopita waliuana humo.
Machafuko au vurugu za kisiasa? Unaposema machafuko au mapigano ujue unaongea kitu tofauti? Siasa za Congo sio km za hapo bongo,MTU hakisema no kutoka kuandama watu hawatoki kweli ,vurugu za kisiasa Kinshasa ndio penyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom