zyogo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 377
- 282
sasa nimeamini....asante kwa taarifa nimefarijikaAmezuia isitangazwe lakini nipo Lusizi hapa madereva wa Coaster za kutoka Kigari kuja hapa wanasema kuna mapigano na wengi hawapiti ile njia kwa sasa
sasa nimeamini....asante kwa taarifa nimefarijikaAmezuia isitangazwe lakini nipo Lusizi hapa madereva wa Coaster za kutoka Kigari kuja hapa wanasema kuna mapigano na wengi hawapiti ile njia kwa sasa
Kigali wanakulaga Mchele kitumbo tu...wakisikia una Mchele wa Tanzania kuna baadhi wanasogeaga hata kuja kusikia kaarufu tu ka Mchele unavyonukia yaani kula wanajua sio kazi rahisi kukaribishwa maana kipunga cha kunukia ni adimu kama bikra kwenye wodi ya wazazi.nataka nilete mchele huko Kigali vipi unalipa?
[emoji23]Wakoloni wameshamchoka. Anageuka toilet paper soon. Pole Sana fidodido. You had your chance ya kuritire a hero but nope madaraka yalikulevya.
Wewe na mwenzio M7 mnadaigi ni quarter pin ya baiskeli na mtatoka kwa nyundo.. Haya sasa pambana kiume.
Unalipa sana kaka lkn sio huo wa huko nyumbani km unaweza unaagiza wa Pakistan au Thailand na soko zuri lipo Congo unafanya biashara Congo kulala upande wa Rwanda kule Usalama sio mzuri sana mfumo wake tukifikisha container ya Unga mm naleta sembe unawakabizi madalari wa Congo unawapa bei yako kwa kiroba wanauza wao wewe unakusanya pesa jioni unawapa chao karibu mkuu japo hakuna Uhuru km huko nyumbani lkn fursa iponataka nilete mchele huko Kigali vipi unalipa?
tulia tu updates soon zitakujianaufwatilia huu uzi nipate updates lakini naona kimya
Hii itakua Congo ya mashariki km sijakosea ndio hakujatulia lkn ,Congo nyingine yote biashara unafanya vzr tu ,maeneo korofi ni Kivu,Goma,BenniUnalipa sana kaka lkn sio huo wa huko nyumbani km unaweza unaagiza wa Pakistan au Thailand na soko zuri lipo Congo unafanya biashara Congo kulala upande wa Rwanda kule Usalama sio mzuri sana mfumo wake tukifikisha container ya Unga mm naleta sembe unawakabizi madalari wa Congo unawapa bei yako kwa kiroba wanauza wao wewe unakusanya pesa jioni unawapa chao karibu mkuu japo hakuna Uhuru km huko nyumbani lkn fursa ipo
Waasi ganiVp mazee waasi wameshashinda au?
Wale wa Rwanda wanaovaa mamiwani makubwa kama anayovaa Wema Sepetu(Bongo Movies)Waasi gani
Stori tu hizooWale wa Rwanda wanaovaa mamiwani makubwa kama anayovaa Wema Sepetu(Bongo Movies)
Mi najua ni story tu,nawauliza wale wadau humu jf waliokomaa kwamba kuna Waasi huko Rwanda ili wanijibu boss.Stori tu hizoo
Watakuambia haitangazwiMi najua ni story tu,nawauliza wale wadau humu jf waliokomaa kwamba kuna Waasi huko Rwanda ili wanijibu boss.
Hahah kama haitangazwi wao sijui wanapataje habari,labda wako huko na waasi mkuu.Watakuambia haitangazwi
mnapena moyo au ni mtu mmoja!!?..matumaini ni jambo zuriHahah kama haitangazwi wao sijui wanapataje habari,labda wako huko na waasi mkuu.
Hebu nipe updates Mkuu ,last kuna MTU humu alisema wako 100 km toka Kigali ,mji wa lusizi ( km sijakosea) ,hebu wewe tuambie mpk sasa nini kina endelea?mnapena moyo au ni mtu mmoja!!?..matumaini ni jambo zuri
Me seekagame huyu huyu rafiki yake na jiwe?.... au kagame mwingine...?