ipo kweli..ila namna ya kuipata habari yake ndo ngumu,paulo haruhusu mtu kwenda kuripoti huko,anataka iwe kimya..si wajua pakisemekana kuna vita background ya rwanda si nzuri,nani ataenda..plus alert kwa raia..huwezi jua watareact vpHiyo vita ipo kweli au ndo tunaendesha gurudumu la ramli?
"Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda kati ya vikosi vya waasi na vile vya majeshi ya Serikali katili na dhalimu ya Rais Meja Jenerali Paul Kagame, raia wengi wa Rwanda wanaendelea kukimbilia nchini Burundi. Haijajulikana bado hao waasi wanaongozwa na nani.
Lakini inahisiwa ni Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa ambaye iimeripotiwa kuungwa mkono na Ufaransa na Rais Pierre Nkurunziza ambaye amepania kumwondoa Rais Paul Kagame madarakani kabla hajaingia vitani nchini Burundi kwa mgongo wa waasi wanaiopinga serikali yake. Mpaka sasa inaelekea Kagame amekaa kimya, hajautangazia ulimwengu kuwa nchi yake imevamiwa na waasi.
Mkoa wote wa Kusini Magharibi karibu umetekwa na waasi na barabara zinazotoka Mkoani humo kuelekea Kigali zimefungwa na waasi".
*C & P*
Kuna ukweli humu?
Hebu tufahamishane waungwana wa JF.
Bazazi Ubazazini Akibazazi
=======
Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda kati ya vikosi vya waasi na vile vya majeshi ya Serikali katili na dhalimu ya Rais Meja Jenerali Paul Kagame, raia wengi wa Rwanda wanaendelea kukimbilia nchini Burundi.
Haijajulikana bado hao waasi wanaongozwa na nani. Lakini inahisiwa ni Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa ambaye iimeripotiwa kuungwa mkono na Ufaransa na Rais Pierre Nkurunziza ambaye amepania kumwondoa Rais Paul Kagame madarakani kabla hajaingia vitani nchini Burundi kwa mgongo wa waasi wanaiopinga serikali yake.
Mpaka sasa inaelekea Kagame amekaa kimya, hajautangazia ulimwengu kuwa nchi yake imevamiwa na waasi. Mkoa wote wa Kusini Magharibi karibu umetekwa na waasi na barabara zinazotoka Mkoani humo kuelekea Kigali zimefungwa na waasi.
Hahah mrundi aingilie?Bila shaka unatania huyu huyu Nkurunziza aliyetaka kupinduliwa mpk wabongo wakampa escort kurudi Burundi au kuna mwingine tena?A timing bomb indeed.
Halafu hawa wote ma ex-generals na hizo military backgrounds makes the whole thing better and worse at the same time.
Another Interesting thing you pointed out. If things go south, Mrundi will likely get involved in one way or the other. But hopefully someone from the outside is paying attention to this.
Interesting Insight!
Mkuu unakumbuka habari ya Yericko Nyerere alituambia wana ukawa tushone suti mzee ameshinda anajiandaa kwenda kuapishwa?Ndo kama hii habari sasa.Hiyo vita ipo kweli au ndo tunaendesha gurudumu la ramli?
Hivo vikundi vinasapotiwa na nani?Mkuu hy vita Rwanda alishindwa akaondoa majeshi, kuwa destabilized ni baada ya ADF wa uganda na FDLR wa Rwanda ,pamoja na M23 waliofurumushwa , kufanya makazi huko
Si kweli mkuu.Hahah mrundi aingilie?Bila shaka unatania huyu huyu Nkurunziza aliyetaka kupinduliwa mpk wabongo wakampa escort kurudi Burundi au kuna mwingine tena?
Kwa E/Africa anayeweza ku intervene mambo ya kijeshi kwa Rwanda labda ni Tz tu lkn Congo,Uganda&Burundi hata wajiunge kwa mpigo wala PK hawatetemekei cz anawajua nje ndani na mapandikizi yake mpk humo kwny majeshi na ikulu zao.
Hahah mrundi aingilie?Bila shaka unatania huyu huyu Nkurunziza aliyetaka kupinduliwa mpk wabongo wakampa escort kurudi Burundi au kuna mwingine tena?
Kwa E/Africa anayeweza ku intervene mambo ya kijeshi kwa Rwanda labda ni Tz tu lkn Congo,Uganda&Burundi hata wajiunge kwa mpigo wala PK hawatetemekei cz anawajua nje ndani na mapandikizi yake mpk humo kwny majeshi na ikulu zao.
Niko poa madam nilikuwa nakupa hai dada maaa kila nikuonapo jukwaan hutabasam tabasam zur sanaHey you!
It's been a minute, Mzima?!
Unawajua FDLR vzr? Hebu wafuatilie haoHivo vikundi vinasapotiwa na nani?
Mnawakuza sana wanyarwanda, lau wangefikia hata nusu ya uwezo mnaowapa, wangekuwa mbali sanaWaangushe utawala wa huyo boya maana ndie alituchagulia jiwe kwa kupenyeza mamluki wake ndani ya usalama wa taifa
Na ninawahakikishia hali ikiendelea kuwa mbaya huko lazima jiwe apeleke jeshi huko tena na bajeti ya kutosha!
Mhhh kama ni maadui wa serikali ya Rwanda sasa kwanini wanafanya unyama huko drc?Unawajua FDLR vzr? Hebu wafuatilie hao
Una uhakika unachoandika?fuatilia Hao utajua km wanafanya unyama RDC au laMhhh kama ni maadui wa serikali ya Rwanda sasa kwanini wanafanya unyama huko drc?
Unajua mkuu Nalendwa shida kwa mfano ya Uganda&Congo hio jamii ya Watutsi iko kwa kiasi kikubwa kuliko hata Tz so kitachofanyika ni kuunda vikundi vingi kama kile cha M23 utasikia ni kwa ajili ya kutetea jamii ya Watutsi walioishi huko Tangu enzi za mababu kama ambavyo Congo imekua destibilised.Mng'ato kumbuka, Warundi nao their two major Ethnic Groups ni "Hutus&Tutsis"
Kama umenipata loud and clear.
Halafu unasema PK hawatetemekei hao wengine ila sisi, huu ukaribu na Wanya Rwanda tulio nao sasa baada ya JK kuondoka unafikiri hatujui inside out by now?!, halafu naona utakuwa umesahau alivyosema tukizipiga atatuchapa...lol!
On a serioues note tho, hata kama JWTZ tukiingia, we'll obviously be on his side.
Ukweli ni upi mkuu?Si kweli mkuu.
Hao jamaa si wako porini huko wanafanya biashara ya kukata mikaa,kubaka na kuteka Wacongo huko vijijini mkuu?Wale ni indispline hooligans tu with no international support wala chochote boss.Unawajua FDLR vzr? Hebu wafuatilie hao
Umeongea point ya maana sana mkuu,kudos.Mnawakuza sana wanyarwanda, lau wangefikia hata nusu ya uwezo mnaowapa, wangekuwa mbali sana
We unazungumzia vita miaka hii? kwa mfano wakati uganda wenyewe waliharibu uchumi wetu vibaya mno na hapo walikua hawaelewani na iddi amini vipi sasa hivi utake mkono na nchi ambayo raia wake wanaipenda kwa hali na mali?Ukweli ni upi mkuu?