CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Antony Lusekelo (Mzee wa upako) anawauliza hivi:
1. Mchakato wa Katiba mpya mlionekana kurasa za mbele za magazeti na kofia (viongozi wa dini kubwa kubwa-kwa maneno yake) , sasa watu wnakufa mbona hamkemei wanaoua watu kwa kudai posho na mishahara- Maandiko yanasema madaktari wana ruhusa ya kuua?
2. Kuna tofauti gani kati ya wauaji wa albino wanaoua li kupata fedha na madaktari wanaoua ili nao kupata fedha?
3. Kuna tofauti gani kati ya jambazi anayeua kupata fedha na madaktari wanaoua kupata fedha?
Source: channel Ten 8/02/2012 at 9.30 PM
Maaskofu/ Mashehe mjibuni.
1. Mchakato wa Katiba mpya mlionekana kurasa za mbele za magazeti na kofia (viongozi wa dini kubwa kubwa-kwa maneno yake) , sasa watu wnakufa mbona hamkemei wanaoua watu kwa kudai posho na mishahara- Maandiko yanasema madaktari wana ruhusa ya kuua?
2. Kuna tofauti gani kati ya wauaji wa albino wanaoua li kupata fedha na madaktari wanaoua ili nao kupata fedha?
3. Kuna tofauti gani kati ya jambazi anayeua kupata fedha na madaktari wanaoua kupata fedha?
Source: channel Ten 8/02/2012 at 9.30 PM
Maaskofu/ Mashehe mjibuni.