SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,337
- 4,664
Mkuu Ni kweli hali ya hawa ndugu zetu inaweza kuwa Ni sehemu ya uweza wa Mungu Lakini pia linaweza kuwa Ni jambo linaloelezeka kisayansi zaidi.Hali ya namna Hii itakuwa Ni sababu ya Gene Mutations.Kwa hiyo Kwa sababu hatuwezi kumpata Mungu kwa namna yoyote ili atueleze kama Ni sehemu ya uweza wake au la Hebu Basi sisi tuliangaze jambo hili katika mtizamo wa sababu za Kibailojia tu. Naomba ujisomee kidogo kuhusu Suala la Gene Mutations uone jinsi matatizo ya hawa ndugu yanavyoweza kuwa yamesabibishwa nalo.
1.Kufa kwa mmoja wao
2.Kuolewa kwa mmoja wao
3.Mmoja angefeli mtihani?
4.Kuajiriwa kwa mmoja wao na mengine mengi...
Ee Mungu, uwatie nguvu wanao hawa, na uwafanye watumike kadiri ya makusudi yako....Amina[/QUOTE]
Mkii
1.Kufa kwa mmoja wao
2.Kuolewa kwa mmoja wao
3.Mmoja angefeli mtihani?
4.Kuajiriwa kwa mmoja wao na mengine mengi...
Ee Mungu, uwatie nguvu wanao hawa, na uwafanye watumike kadiri ya makusudi yako....Amina[/QUOTE]
Mkii