Mapacha walioungana na Mitihani ya Form Six 2017

Mapacha walioungana na Mitihani ya Form Six 2017

IMG_20170504_143641_554.JPG
 
Wanafanya mitihani ya form six,.niliona video yao siku ya graduation, pia hapo shuleni wamejengewa bweni lenye huduma rafiki kwao.kwenye paper mmoja anageuka kushoto mwingine kulia.
 
Ukuu was Mungu unazidi kuonekana kupitia hawa...Kibinadamu twaweza kuwa na maswali yasiyo kuwa na majibu lakini Mungu pekee ndio anajua. Mfano twaweza jiuliza;
1.Kufa kwa mmoja wao
2.Kuolewa kwa mmoja wao
3.Mmoja angefeli mtihani?
4.Kuajiriwa kwa mmoja wao na mengine mengi...

Ee Mungu, uwatie nguvu wanao hawa, na uwafanye watumike kadiri ya makusudi yako....Amina
 
Unajiuliza kuhusu kuolewa?
Jiulize mmoja akifariki vipi mwingine atakuwa hai?
Je akiwa hai....unafikiri marehemu atazikwaje?
Mimi ni pacha ila nashukuru ckuzaliwa kama huwa wenzangu...
Akili kama hizi, tungemuazima baba Bashite tungekuwa mbali sana.


Naomba kuuliza, hao mapacha wameungana sehemu ipi katika mwili?
 
tatizo leru tunawaza tunafika mbali sana. Mungu mkubwa nayeye ndo ajuae changamoto za hawa binadam
 
Mkuu sasa maombi yako yamezidi kipimo! Hivi kweli Mungu anaweza kuwaandikia majibu answer sheet? Au unamaanisha nini hasa? Uhai wa kimwili Ni kweli hutoka Kwa Mungu Na yeye ndo hujua nini kinafanyika Na kinafanyike wakati wa Fertilization Lakini mtu akishatungwa mimba au akishazaliwa iwe Ni kilema au mzima Suala la huyo mhusika kupambana Na mazingira yake Kwa Asilimia kubwa linakuwa jukumu la mhusika mwenyewe au wazazi au walezi au jamii yake mhusika.Kwa hiyo ndugu zetu hawa walemavu ikiwa hawakujiandaa vizuri Na mtihani wao Mungu hawezi kufanya miujiza ya wao kufaulu mtihani huo.Sio mtihani tu hata wasipofanya kazi( kupatikana mtu wa kuwasaidia mahitaji yao) Basi muujiza wa kufanikisha mambo hayo hautatokea.



QUOTE="Naisujaki Lekangai, post: 20981644, member: 98654"]Asante Mungu kwa kuilinda miujiza hii tangu ulipoileta duniani.Watoto wamechanua wamependeza wanaonesha jinsi utukufu wako ulivyo mkuu!
Tunaendelea kukuomba baba uwaandikie majibu ya maswali yote kwenye mitihani yao ya form six.
Amen.[/QUOTE]
 
Daaa!!!! Mungu wewe wajua hata tusiyoyajua tenda miujiza baba
 
Back
Top Bottom