Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Ukwaju nimekupata,jamaa ameshindwa kupata Content ya Concept yangu,matokaeo yake anakimbilia kwenye Childish issue,(.)

Anataka proper punctuation ameambiwa
Kuna mashindano ya Insha hapa?

whoops, its you again! This time 2 strokes, ukishika nafuta! atleast you have improved 85%,just few things to catch up son!

 
..kilichotokea Misri ni tofauti na utabiri wa JK pamoja na conclusions zako.

..Misri kulifanyika mapinduzi ya kiraia ambayo yalifuatiwa na uchaguzi uliokiweka chama cha Muslim Brotherhood madarakani.

..baada ya Muslim Brotherhood kushika dola palitakiwa kufanyika mabadiliko ya katiba. sasa tatizo Muslim Brotherhood wakatumia wingi wao na mabavu kukandamiza hoja za vyama vingine ktk mabadiliko ya katiba.

..kwa kifupi Muslim Brotherhood na Raisi wao Mohamed Morsi walikuwa wanatumia hoja hizihizi wanazojenga CCM leo ktk mchakato wa katiba. Kwamba wao wako wengi hivyo maoni yao tu ndiyo yasikilizwe.

..Sasa Muslim Brotherhood wakafanikiwa kupitisha katiba waliyoitaka wao, lakini kukawepo idadi ya kutosha ya Wamisri ambao hawakukubaliana na katiba iliyopitishwa.

..Wananchi wengi waliingia mitaani na kuanza kupinga ukandamizaji uliokuwa ukifanywa na Muslim Brotherhood. Hali ya usalama Misri ilianza kuwa mbaya. Jeshi likaona kwamba nchi inaelekea kutokutawalika, na likatoa amri kwamba wanasiasa wamalize matatizo yao, na ikiwa watashindwa jeshi litalazimika kuchukua "hatua stahiki."

..Mlolongo niliouleze hapo juu ndiyo uliomuingiza madarakani Field Marshal Al-Sisi.

..Kiburi na vitimbi vya chama tawala cha Misri ktk mchakato wa katiba ndiyo sababu ya msingi ya kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini humo.

cc ZeMarcopolo, Kishimbe wa Kishimbe, ANDREW SMITH, Kobello, Nguruvi3

:flypig::flypig::flypig: Joka Kuu umetisha!! Niliposoma hii thread tangu mwanzo nilijua kwamba mleta mada hajui anachoongelea. Amejitia kuongelea issues za Misri lakini ukweli ni kwamba hakuna analolijua. Kwa mtu mwerevu hawezi kulinganisha kilichofanyika Misri eti ndo ikawa mfano wa kulinganisha na kile kinachoweza kutokea hapa Tz iwapo kutakuwa na muundo wa Serikali 3. Angeweza kuongelea ilivyokuwa USSR na kilichotokea hadi kusambaratika angalau tungeweza kwa mbaaali sana kumsaidia. Binafsi kwa kulijua kwamba huyu ni mtoto katika mambo haya nimeona bora nimsaidie tu katika kumsahihisha insha yake coz nafikiri anachukua mazoezi ya kuandika! By the way nawapongeza suppoters wake wote kwa kuendeleza utaratibu wao wa kusifia mambo yasiyotakiwa kusifiwa, pia nawapa hongera kwa kuthubutu kuongelea kitu wasichokielewa!!!! endeleeni kufurahia jf!!!!
 

FYI ya huyo ya Mwanajeshi wa Misri ilikuwa inajulikana hata kabla ya KIKWETE kuwaambia Wananchi Msiopenda kufuatilia Masuala ya kimataifa wenyewe mpaka muambiwe na RAIS wenu

Na Issue ya JESHI LA MISRI kuchukua Madaraka sio kwasababu ya kushindana kukubaliana kurekebisha katiba ni UONGOZI ulioshinda kwa VINDEMBWE kuwanyima haki WaMISRI wote yaani wa DINI KABILA na HULKA MBALIMBALI

Wao walitaka kuifanya MISRI isiwe SECULAR STATE kama ilivyokuwa; Walitaka iwe ya KIDINI ya KIISLAMU na pia walitaka kuvunja Mikataba yote walionayo na ISRAEL aliyosaini Rais Anwar Sadat na Begin

Kwahiyo JARIBU kufuatilia kidogo INTERNATIONAL AFFAIRS Uweze kuelewa VIZURI kabla ya kurukia HABARI hivyo hatutafika...



c.c kingukitano

Ni kweli mkuu mleta mada si mfuatiliaji wa historia bali tukio moja moja. Majeshi katika nchi za Kiarabu ndio msingi wa utawala wa nchi hizo sawa sawa na nchi za afrika magharibi. Anashindwa kukumbuka kuwa Anwar Sadat, Hosni Mubarak waliokuwa ni viongozi wa nchi ambao walichukua madaraka wakiwa majenerali jeshini na kisha kustaaf na kuwa viongozi wa kiraia ambao nguvu yao ilitegemea ukaribu na jeshi. Morsi asingeweza kukabiliana na nguvu za kijeshi.

Asichofahamu mleta mada ni kuwa jeshi la Misri linamiliki uchumi wa nchi kwa asilimia 27!! Ni jeshi lililo na vitega uchumi, viwanda, maduka na biashara lukuki.
 
We boya baada ya kupambana na maisha ww unalalamika tu fursa ziko mingi sana sasa ww endelea kudanganywa na kina slaa huku wenyewe wanakula gud lyf

Huna haja ya kunitukana kuniita boya, mimi nimetoa mtazamo wangu kuhusu utendaji wa CCM kama niuonavyo. Kama una mawazo tofauti nami waweza kunipinga kwa hoja na si matusi.
 
Ni heri jeshi litawale kuliko serikali ya CCM maana tunajua siku jeshi litakapoamua kurejesha utawala wa kiraia, kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki. Hakutakuwa na tume ya Uchaguzi ya CCM wala wachakachuaji wengine wa CCM./!QUOTE]

Khaa!!! Kudadadeki kumbe mijinga ipo mingi humu
Toa mawazo yako kunipinga sio kunipinga kwa matusi. na Isitoshe "Ujinga" ni hali ya kutojua. Na sote tunajua kwamba hakuna binadamu anayejua kila kitu. Kama ni kweli kwamba hakuna binadamu anayejua kila kitu, basi hii ni kumaanisha kwamba kila binadamu ana ujinga katika eneo fulani. Sasa sijui wewe kama unajua kila kitu.
 
Na nani alikudanganya kuwa akija mwingine hatakutawala?

Nini maana ya utawala?

Shida si kutawaliwa, shida ni unatawaliwa na nani? Siafiki hata kidogo kutawaliwa na mkoloni awe mweupe au mweusi.
 
Hizo ni akili za gongo. Unaujua utawala wa kijeshi? Waulize kwanza walio tawaliwa kijeshi ndo ueleze utumbo wako
Ukiwa na hoja huna haja ya kumwaga matusi bali utanishinda kwa hoja. Kwa taarifa yako si kila utawala wa kijeshi ulikuwa mbaya kama unavyodhani. Kuna mwanafalsafa wa kigiriki alisema, "Ni heri kutawaliwa na dikteta mzalendo na mwenye hekima, kuliko kutawaliwa na mwanademokrasia --------" Una uhuru wa kutokubaliana nami.
 
Kwa akili yako isiyo na vision ndio umeona jk anavision. Haya bwana bulicheka
 
Ni kweli nchi kutawaliwa kijeshi hakutakuwa na uhuru tulionao lakini tutaweza kuzoea haraka sisi wananchi wa kawaida, lakini nyinyi mnaoinyonya nchi hii ndo mtaumia zaidi kwani na nyinyi mtaanza kupata maumivu mnayowapa wapinzani wenu kisiasa.

SO MTOA MADA UNATAKA KUTUAMBIA KAMA SERIKALI TATU NDIO ZIMESABABISHA MAPINDUZI YA KIJESHI HUKO MISRI.
na kama si hivyo hata hizi mbili au moja kama itkuja mapinduzi yananweza kutokea endapo serikali itshindwa kutoa haki kwa raia wake.
HAINA MASHIKO THREAD YAKO, pitia historia ya Tanzania utaona hata nyerere alikumbwa na jaribio la kupinduliwa ndani ya mfumo wa serikali mbili.
 
Calling a man who is created by God in his likeliness your Dog,shows the highest stage of negligence and indiscipline to the creator and that your reasoning capacity is completely destroyed by evils of the planet,for this reason you can not be sound and productive to the nation.

Think again. Even God calls those unfit , unfit. What if you think like a dog ? Acha hizoooo.
 
whoops, its you again! This time 2 strokes, ukishika nafuta! atleast you have improved 85%,just few things to catch up son!


Hahahahahahaahaa,nilikua nimechukia lakini,imebidi nicheke.haya bwana.kaka,jiyo,juu ni soon,ya mapema au son ya mtoto wa kiume
 
Ni kweli mkuu mleta mada si mfuatiliaji wa historia bali tukio moja moja. Majeshi katika nchi za Kiarabu ndio msingi wa utawala wa nchi hizo sawa sawa na nchi za afrika magharibi. Anashindwa kukumbuka kuwa Anwar Sadat, Hosni Mubarak waliokuwa ni viongozi wa nchi ambao walichukua madaraka wakiwa majenerali jeshini na kisha kustaaf na kuwa viongozi wa kiraia ambao nguvu yao ilitegemea ukaribu na jeshi. Morsi asingeweza kukabiliana na nguvu za kijeshi.

Asichofahamu mleta mada ni kuwa jeshi la Misri linamiliki uchumi wa nchi kwa asilimia 27!! Ni jeshi lililo na vitega uchumi, viwanda, maduka na biashara lukuki.

Chief mie ni mfuatiliaji mzuri
 
Tafadhali kabla hujapost kitu fuatilia Historia sio kukurupuka ... Umenisikitisha dah
 
Hahahahahahaahaa,nilikua nimechukia lakini,imebidi nicheke.haya bwana.kaka,jiyo,juu ni soon,ya mapema au son ya mtoto wa kiume

ha,ha,haaaa, kingukitano unafikiri nimekosea siyo? Hapana! Ninamaanisha "SON" kwa maana ya mtoto wangu wa kiume. Nafurahi kama umenielewa thats how jf is my boy. Ni utani sana sometimes huku mambo mazito yakiendelea. Enjoy your stay!!!!!!!!!
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

acha kiujitoa ufahamu,kwani kikwete hakuwa mwanajeshi?
 
Back
Top Bottom