Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Maono ya Kikwete Yatimia Misri

WE UJUI MTITI WA WAJEDA kumbuka kuwa si Raia wote wanapenda ivo wapo wataopinga na kitendo cha kupinga ndio kama Misri watauwawa watu kama mende...Tatizo letu huwa hatutazami mbali bali tunangalia hapa ukifikiria kwa undani kuna mashiko juu aliyosema jakaya kikwete nawambia nami namsapoti kwa 10000000000000000000000%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%
 
Nguu,You need to be critical thinker,Hoja ninayojenga ni urahisi wa jeshi kupindua serikali yoyote,the issue is not whether it emanates from Constitution review or else,Hoja yangu ni kupindua,kutawala kwa muda na kisha kutaka kugombea,ndicho kilichotokea Misri.

Hoja ya JK haikua kupindua because of misundastanding in Constitution review,Issue ya Mh Rais ilikua ni Jeshi likiona linaletewa longolongo katika mahitaji yake ni rahisi kupindua na kuvunja mifumo ya kidemokrasia.

Alitoa tahadhari kulingana na pendekezo la serikali tatu ambapo jeshi linakua katika mambo ya Muungano,hapa ukiangalia kiundani the union government haina sustainable and stable source of Revenue,hadi itegemee nchi washirika,JK akaona,ni rahisi siku moja nchi washirika wakakosa au kuamua kutopeleka fedha kwa serikali ya Muungano hivyo kukwama hata kulipa salary jeshini,Kinachofuata ni mtanange.

Kwa hiyo issue sio Kutoelewana ktk katiba issue ni Risk ya kuweka Jeshi chini ya Shirikisho la Warioba lisilo na uhakika wa mapato.

Tatizo ni lako kufananisha na EGYPT na kusema Rais ni VISIONARY LEADER sababu aliyaongea hayo kabla ya kutokea

Wakati si kweli; EGYPT by itself is a MILITARY GOVERNMENT COUNTRY; Jeshi la MISRI linamiliki karibia asilimia 40 ya UCHUMI wa nchi hiyo

Wana MASUPERMARKET yao; GAS STATIONS na vingi tu vya kujitegemea bila kuitegemea serikali ya nchi hiyo

Kwahiyo kama UKIFUTA UVISIONARY LEADERSHIP na PROMPT ya kuwa JESHI chini ya SHIRIKISHO la WARIOBA hivyo havitailetea JESHI kuchukua nchi; Ukiangalia kuna BRIGADE's NYINGI za ZANZIBAR -- Muungano huo wa WARIOBA kama unvyouita sio kuwa sababu ya kutokuwa na FEDHA; Rais aliongelea kwa Mifano na sio kuwa ndio point halisi

Mfano aliongelea ya kuwa SERIKALI ya TANGANYIKA ina Rasilimali na hiyo ni GAS; GOLD; Mazao ya Vyakula-- Itaweza kwenda kukopa nje ya nchi.... Lakini akaongelea kwa sasa Serikali ya Zanzibar inategemea Misaada bado haina Rasilimali zake za kujiendeleza hivyo yeye anaona nchi hiyo haitaweza kujiendeleza wenyewe

Lakini IKIWA ni hilo SHIRIKISHO ina Maana Wa ZANZIBAR watachota Misaada sababu ya serikali ya TANGANYIKA kuwa na RASILIMALI...

Kwahiyo akasema ya kuwa kama nchi hiyo ikishindwa kujiendeleza labda JESHI litaichukua na sio kuwa na ULAZIMA hicho kitatendeka kukiwa na serikali unazosema za WARIOBA

*** Kumbuka Zanzibar imeingia Mikataba na nchi za Nje kuktafuta OIL na GAS Maeneo yao kwahiyo usije ukashangaa wakawa pia na RASILIMALI za kwao hivi karibuni...
 
Umeshasema mkuu wa jeshi la Misri amejiuzulu! Ina maana anagombea nafasi ya uraisi Kama raia Sasa jeshi limeshika dola vipi? Ningependa jeshi lichukue nchi ili mafisadi washikishwe adabu lakini haitatokea maana viongozi wote wa juu wa jeshi nao ni Maccm.

Luteni Kanali Jakaya M. kikwete. Mbona hata yeye alikuwa mwanajeshi lakini kagombea kama raia? Halafu nakerwa sana na watu wanao chukua nukuu za JK bila kuzifanyia utafiti wakati hata yeye hajafanya utafiti kabla ya kusema


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Luteni Kanali Jakaya M. kikwete. Mbona hata yeye alikuwa mwanajeshi lakini kagombea kama raia? Halafu nakerwa sana na watu wanao chukua nukuu za JK bila kuzifanyia utafiti wakati hata yeye hajafanya utafiti kabla ya kusema


Sent from my iPad using JamiiForums

Ni kwasabab sio mtu makini mkuu, nilitegemea angeongea Kama statesman ila ameongea kichama na kuwapa muongozo Maccm wenzake wakati hiyo sio sababu iliyompeleka pale tunahitaji kiongozi anayefikiria vizazi vijavyo na taifa kwa ujumla, Kama Alitaka kutoa maoni yake angepeleka kwenye tume ya warioba.
 
Hivi hao Majeshi wetu wanachelewa nini Kupindua serikali. Au nao ni Dhaifu kama JK? Majeshi wetu munatuangusha sisi tunahamu ya utawala wa kijeshi. Wajeshi changamkieni fursa Rais alishawaruhusu pale bungeni alionesha amefyata mkia. hahahahh.
 
Kuna watu bado wanadhani kuwa babu Slaa ndiye rais wa TZ,poleni sana,unataka hadi chupi akununulia JK.Duuuu.........
 
Kuna watu bado wanadhani kuwa babu Slaa ndiye rais wa TZ,poleni sana,unataka hadi chupi akununulia JK.Duuuu.........

ha ha toka slaa aende ikulu kunywa juice makamanda wa chadema wameshambatiza urais
 
Bora jeshi litawale tu kuliko CCM kuendelea kuwa madarakani.
 
Hivi hao Majeshi wetu wanachelewa nini Kupindua serikali. Au nao ni Dhaifu kama JK? Majeshi wetu munatuangusha sisi tunahamu ya utawala wa kijeshi. Wajeshi changamkieni fursa Rais alishawaruhusu pale bungeni alionesha amefyata mkia. hahahahh.

waambie wakampindue kwanza hawara yako...
 
wanaotaka utawala wa kijeshi kambi za jeshi ziko kibao waende wakatawaliwe huko
 
UJUMBE UMEFIKA
Kaa ufahamu sio watu wote tnatumia Keyboard za Computer
unaweza kuta natumia Blackberry 8100 ikitumia ABC kwenye No 2, DEF #3 sasa comma au capital letter za nini wakati habari imefika?
Bravooo Kikwete, achia Tanganyika ije hao Wazanzibar watajitoa wenyewe tu

aaaah, bong'oso umeonekana leo! Hata utumie chaki kuandikia, haiondoi ujuvi na weledi wa matumizi ya hicho kifaa chako. Vitufe vyote vipo katika hicho chombo chako unachotumia. Mbumbumbu hadi kwenye chombo ulichonunua mwenyewe, sembuse hicho unachokishabikia!!!
 
Kama kweli mleta mada ni Mtanzania basi unaendeleza ile karaha ya kutudharaurisha kwa wenzetu, na nahisi ungelikuwa miongoni mwa wajumbe wa bunge la katiba basi ungelikuwa miongoni mwa wale waliohitaji tafsiri wakati seneta Amos Waako akihutubu!
Sasa unataka kutwambia Misri wana muungana wa serikali mbili, tatu, nne, tano ........elfu!?
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

Kwa kweli siku hizi Jamii forums imepoteza maana kabisa. Hakuna discussion za maana.
 
aaaah, bong'oso umeonekana leo! Hata utumie chaki kuandikia, haiondoi ujuvi na weledi wa matumizi ya hicho kifaa chako. Vitufe vyote vipo katika hicho chombo chako unachotumia. Mbumbumbu hadi kwenye chombo ulichonunua mwenyewe, sembuse hicho unachokishabikia!!!
kumbe Mods wanakagua uandishi ndio wanaruhusu Post ikasoomwe
maana kutwa ni kusahihisha commer na nukta
Kwa kweli siku hizi Jamii forums imepoteza maana kabisa. Hakuna discussion za maana.
nilichokuambia UJUMBE tumeupata
Maono ya Kikwete Yatimia Misri

sasa mpaka ujue nimebofya #2 TY au ALT shift tunachoangali umekufikia
bong'oso ni watoto wa O'Level mnadhani tupo katika lugha?

Hoja ni kweli Serikali ya 3 ya Muungano itategemea misaada toka Tanganyika?
wakinyimwa je? kitatokea nini ??
Bravooo JK
 
Back
Top Bottom