Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Maono ya Kikwete Yatimia Misri

kumbe Mods wanakagua uandishi ndio wanaruhusu Post ikasoomwe
maana kutwa ni kusahihisha commer na nukta

nilichokuambia UJUMBE tumeupata
Maono ya Kikwete Yatimia Misri

sasa mpaka ujue nimebofya #2 TY au ALT shift tunachoangali umekufikia
bong'oso ni watoto wa O'Level mnadhani tupo katika lugha?

Hoja ni kweli Serikali ya 3 ya Muungano itategemea misaada toka Tanganyika?
wakinyimwa je? kitatokea nini ??
Bravooo JK

Ukwaju nimekupata,jamaa ameshindwa kupata Content ya Concept yangu,matokaeo yake anakimbilia kwenye Childish issue,

Anataka proper punctuation ameambiwa
Kuna mashindano ya Insha hapa?
 
My D.oG!!!!

Calling a man who is created by God in his likeliness your Dog,shows the highest stage of negligence and indiscipline to the creator and that your reasoning capacity is completely destroyed by evils of the planet,for this reason you can not be sound and productive to the nation.
 
Misri ishakuwa na historia ya kuwa na maraisi wa kiraia 2 na wote wameishi kupinduliwa hivyo Misri inatawaliwa na wanajeshi mara zote, hata kama akishainda raisi wa kiraia jeshi litampindua tu.

Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

..kilichotokea Misri ni tofauti na utabiri wa JK pamoja na conclusions zako.

..Misri kulifanyika mapinduzi ya kiraia ambayo yalifuatiwa na uchaguzi uliokiweka chama cha Muslim Brotherhood madarakani.

..baada ya Muslim Brotherhood kushika dola palitakiwa kufanyika mabadiliko ya katiba. sasa tatizo Muslim Brotherhood wakatumia wingi wao na mabavu kukandamiza hoja za vyama vingine ktk mabadiliko ya katiba.

..kwa kifupi Muslim Brotherhood na Raisi wao Mohamed Morsi walikuwa wanatumia hoja hizihizi wanazojenga CCM leo ktk mchakato wa katiba. Kwamba wao wako wengi hivyo maoni yao tu ndiyo yasikilizwe.

..Sasa Muslim Brotherhood wakafanikiwa kupitisha katiba waliyoitaka wao, lakini kukawepo idadi ya kutosha ya Wamisri ambao hawakukubaliana na katiba iliyopitishwa.

..Wananchi wengi waliingia mitaani na kuanza kupinga ukandamizaji uliokuwa ukifanywa na Muslim Brotherhood. Hali ya usalama Misri ilianza kuwa mbaya. Jeshi likaona kwamba nchi inaelekea kutokutawalika, na likatoa amri kwamba wanasiasa wamalize matatizo yao, na ikiwa watashindwa jeshi litalazimika kuchukua "hatua stahiki."

..Mlolongo niliouleze hapo juu ndiyo uliomuingiza madarakani Field Marshal Al-Sisi.

..Kiburi na vitimbi vya chama tawala cha Misri ktk mchakato wa katiba ndiyo sababu ya msingi ya kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini humo.

cc ZeMarcopolo, Kishimbe wa Kishimbe, ANDREW SMITH, Kobello, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Watu mnapenda league sana.
Issue inayotakiwa kujibiwa hapa ni je huyo mjeshi kavua gwanda na kutaka kugombea urais ama hapana?

Pia muono wa JK uko sahihi, lakini JK alichoshindwa kukijibu ktk maelezo yake ni kuwa kutakapokuwa na serikali ya muungano kukosa mapato na wanajeshi kupindua, je watapindua serikali ipi? ya muungano, ya Tanganyika ama ya Zanzibar.
 
Ww umekosa cha kuongea kaa kimya kwa wiz huu wa twiga kwenda saud Arabia ni nani angekubali Kama kungekuwa na utawala wa sheria?
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi
Hebu tueleze katika mfumo wa serikali 2, chanzo hakika cha mapato ni kipi?
 
Watu mnapenda league sana.
Issue inayotakiwa kujibiwa hapa ni je huyo mjeshi kavua gwanda na kutaka kugombea urais ama hapana?

Pia muono wa JK uko sahihi, lakini JK alichoshindwa kukijibu ktk maelezo yake ni kuwa kutakapokuwa na serikali ya muungano kukosa mapato na wanajeshi kupindua, je watapindua serikali ipi? ya muungano, ya Tanganyika ama ya Zanzibar.

Mkama P,heshima kwako,wewe umenisoma vizuri,kuna watu vichwa vyao vigumu,mimi sijaeleza kilichosababisha mapinduzi,ila nimeeleza urahisi wa jeshi kuingiilia,pale wanapoona interest zao zinapuuzwa,wanapundua,wanaongoza kwa muda ktk mapinduzi,kisha wanaitisha election mmoja wao anavua gwanda na kutangaza kugombea,

hiki ndicho mh Kikwete alikiona kama Risk kwa kutolea mfano.

Hakika Kikwete alichokisema ni exactly kimetokea Misri,sio kwa kilichopelekea mapinduzi,lakini kujiingiza kwa jeshi ktk utawala ambao kwa hakika lazima drmokrasia itaminywa
 
..kilichotokea Misri ni tofauti na utabiri wa JK pamoja na conclusions zako.

..Misri kulifanyika mapinduzi ya kiraia ambayo yalifuatiwa na uchaguzi uliokiweka chama cha Muslim Brotherhood madarakani.

..baada ya Muslim Brotherhood kushika dola palitakiwa kufanyika mabadiliko ya katiba. sasa tatizo Muslim Brotherhood wakatumia wingi wao na mabavu kukandamiza hoja za vyama vingine ktk mabadiliko ya katiba.

..kwa kifupi Muslim Brotherhood na Raisi wao Mohamed Morsi walikuwa wanatumia hoja hizihizi wanazojenga CCM leo ktk mchakato wa katiba. Kwamba wao wako wengi hivyo maoni yao tu ndiyo yasikilizwe.

..Sasa Muslim Brotherhood wakafanikiwa kupitisha katiba waliyoitaka wao, lakini kukawepo idadi ya kutosha ya Wamisri ambao hawakukubaliana na katiba iliyopitishwa.

..Wananchi wengi waliingia mitaani na kuanza kupinga ukandamizaji uliokuwa ukifanywa na Muslim Brotherhood. Hali ya usalama Misri ilianza kuwa mbaya. Jeshi likaona kwamba nchi inaelekea kutokutawalika, na likatoa amri kwamba wanasiasa wamalize matatizo yao, na ikiwa watashindwa jeshi litalazimika kuchukua "hatua stahiki."

..Mlolongo niliouleze hapo juu ndiyo uliomuingiza madarakani Field Marshal Al-Sisi.

..Kiburi na vitimbi vya chama tawala cha Misri ktk mchakato wa katiba ndiyo sababu ya msingi ya kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini humo.
Watapitisha kwa wingi, baada ya hapo tutarudi kuandika katiba. Kenya walijaribu wakashindwa, hatujifunzi. Katiba ni suala la taifa si suala la itikadi. Ni wehu peke yao wanaodhani katiba ni mali ya chama

Nina uhakika ndani ya maiaka 5 tutaandika katiba baada ya kuridhiska kuwa ni wajinga.
 
Watu mnapenda league sana.
Issue inayotakiwa kujibiwa hapa ni je huyo mjeshi kavua gwanda na kutaka kugombea urais ama hapana?

Pia muono wa JK uko sahihi, lakini JK alichoshindwa kukijibu ktk maelezo yake ni kuwa kutakapokuwa na serikali ya muungano kukosa mapato na wanajeshi kupindua, je watapindua serikali ipi? ya muungano, ya Tanganyika ama ya Zanzibar.

Swali lako maji marefu sana.

Kwa sababu ukichunguza sana hapa, suala la msingi ni serikali kukosa kuwapatia wanajeshi maslahi yao.

Na hili si lazima liwe hodhi ya serikali ya Tanganyika, Muungano au Zanzibar. Serikali yoyote inaweza kukosa fedha.

Kwa hiyo solution si idadi ya serikali, kwani unaweza kuwa na serikali tatu, wanajeshi wasilipwe, halafu wakaipindua yoyote wanayoona sawa.

Na unaweza kuwa na serikali mbili au moja, wanajeshi wasilipwe, wakaipindua yoyote wanayoona sawa.

Nyerere yalishamtokea hayo miaka ya sitini akalivunjilia mbali jeshi na kuunda upya jeshi la kizalendo zaidi, pamoja na kuwajaza watu wa kwao kibao strategically jeshini kiasi kwamba kumpindua tena ikawa shida sana.

Solution ni kuzidisha uzalendo na kuongeza uchumi, vitu viwili ambavyo vyote vinashuka. Tunapunguza uzalendo kadiri siku zinavyozidi kwenda, na uchumi unapungua. Wengine watasema viwili hivi vinarandana. Uchumi unapungua kwa sababu uzalendo unapungua.

Kwa hiyo habari ya JK inaweza kutokea hata kwa serikali mbili za sasa, tunaona serikali inavyochelewesha mishahara ya watumishi wa umma / walimu etc. Siku inaweza kuishiwa ikashindwa kulipa wajeshi kukawa na zali.

Speaking of that, kwa nini wanajeshi wawe muhimu zaidi kuliko walimu? Kwa nini walimu wanacheleweshewa mishahara yao na serikali haijali lakini kwa wanajeshi iwe taboo? Kwa sababu wana silaha?

So the whole argument JK presented is fundamentally moot, although it can be argued kwamba kuongeza serikali kutaongeza gharama.

Moreover, the argument is not based on some hard facts. For example, in the US federal employees are paid from the purse of the federal government which collects taxes, so there is no fundamental reason why whichever government that is responsible for paying soldiers for example, should not be entitled to certain revenues from taxation to enable it to fund it's expenses.

The argument was fundamentally shallow and came across as something that was just plugged in to buttress JK's preconceived position of serikali mbili..

All this is coming from Kiranga, a person with no preference regarding serikali mbili tatu au moja.

My personal preference is zero government, as in "The government that governs best, governs least".
 
..kilichotokea Misri ni tofauti na utabiri wa JK pamoja na conclusions zako.

..Misri kulifanyika mapinduzi ya kiraia ambayo yalifuatiwa na uchaguzi uliokiweka chama cha Muslim Brotherhood madarakani.

..baada ya Muslim Brotherhood kushika dola palitakiwa kufanyika mabadiliko ya katiba. sasa tatizo Muslim Brotherhood wakatumia wingi wao na mabavu kukandamiza hoja za vyama vingine ktk mabadiliko ya katiba.

..kwa kifupi Muslim Brotherhood na Raisi wao Mohamed Morsi walikuwa wanatumia hoja hizihizi wanazojenga CCM leo ktk mchakato wa katiba. Kwamba wao wako wengi hivyo maoni yao tu ndiyo yasikilizwe.

..Sasa Muslim Brotherhood wakafanikiwa kupitisha katiba waliyoitaka wao, lakini kukawepo idadi ya kutosha ya Wamisri ambao hawakukubaliana na katiba iliyopitishwa.

..Wananchi wengi waliingia mitaani na kuanza kupinga ukandamizaji uliokuwa ukifanywa na Muslim Brotherhood. Hali ya usalama Misri ilianza kuwa mbaya. Jeshi likaona kwamba nchi inaelekea kutokutawalika, na likatoa amri kwamba wanasiasa wamalize matatizo yao, na ikiwa watashindwa jeshi litalazimika kuchukua "hatua stahiki."

..Mlolongo niliouleze hapo juu ndiyo uliomuingiza madarakani Field Marshal Al-Sisi.

..Kiburi na vitimbi vya chama tawala cha Misri ktk mchakato wa katiba ndiyo sababu ya msingi ya kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini humo.

cc ZeMarcopolo, Kishimbe wa Kishimbe, ANDREW SMITH, Kobello, Nguruvi3
Hayo mambo ya maono mimi sina interest nayo kabisa!
Ila, ni lazima ukubali kuwa Muslim brotherhood ni serikali ambayo haikupangwa/kutarajiwa na NATO. Na serikali ya kijeshi haikuwa na haja ya kuwanyonga watu 500 kwa sababu za kisiasa. Huo ndio ukweli na usijaribu kuupaka rangi upepo.
Acheni mchakato wa katiba uendelee, kama watu hawataupenda, basi wataukataa na hiyo ndiyo itauwa tiketi yenu 2015.
Sijafurahishwa na watu humu ndani kudhani kuwa maoni yao ndiyo lazima yakubaliwe. Katiba ya nchi moja inaweza kuwa ya kijinga mno kulinganisha na katiba ya nchi nyingine.
Ndiyo maana ya sovereignty.
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

JK ni askari , Colonel , na ndiye anaiua demokrasia.
 
So the whole argument JK presented is fundamentally moot, although it can be argued kwamba kuongeza serikali kutaongeza gharama.

Moreover, the argument is not based on some hard facts. For example, in the US federal employees are paid from the purse of the federal government which collects taxes, so there is no fundamental reason why whichever government that is responsible for paying soldiers for example, should not be entitled to certain revenues from taxation to enable it to fund it's expenses.

The argument was fundamentally shallow and came across as something that was just plugged in to buttress JK's preconceived position of serikali mbili..

All this is coming from Kiranga, a person with no preference regarding serikali mbili tatu au moja.

My personal preference is zero government, as in "The government that governs best, governs least".
Mine is one unitary government, which I think is more practical.

Kuhusu JK, mimi naona watu hawamuelewi kwa sababu hawasikilizi hotuba zake. Conclussions nyingi ni kutokana na maelezo ya third party.
JK anazungumzia rasimu hii ya katiba na mapendekezo ya aina ya serikali (zote tatu). Aina ya serikali zilizopendekezwa is absolutely impractical kwa sababu federal government (or whatever they may call it) haina nguvu. Haijapewa carrot na wala haijapewa stick ... yaani ipoipo tu!
Haina nguvu ya kuunda majimbo.
Haina nguvu ya ku-regulate international trade.
Haina nguvu ya kukusanya mapato... itategemea kuchangiwa.

Bunge lake ni kama higher house kwenye bicameral system ambapo lower houses zitakuwa state legislatures (WTF?)
Sasa badala ya kutaja tu "Serikali tatu", wangeeleza serikali tatu kivipi? Yeye ana serikali mbili ambazo zinafanya kazi na zimefanya kazi kwamuda mrefu tu, ingawa kuna matatizo .... hayo yapo nchi nyingi tu.

Ndiyo maana akawaaambia, siyo mnasema serikali tatu tu, muwe tayari kujibu challenges mtakazoletewa kuhusu hizo serikali.
Tatizo siyo muundo, bali mfumo.
 
Hayo mambo ya maono mimi sina interest nayo kabisa!
Ila, ni lazima ukubali kuwa Muslim brotherhood ni serikali ambayo haikupangwa/kutarajiwa na NATO. Na serikali ya kijeshi haikuwa na haja ya kuwanyonga watu 500 kwa sababu za kisiasa. Huo ndio ukweli na usijaribu kuupaka rangi upepo.
Acheni mchakato wa katiba uendelee, kama watu hawataupenda, basi wataukataa na hiyo ndiyo itauwa tiketi yenu 2015.
Sijafurahishwa na watu humu ndani kudhani kuwa maoni yao ndiyo lazima yakubaliwe. Katiba ya nchi moja inaweza kuwa ya kijinga mno kulinganisha na katiba ya nchi nyingine.
Ndiyo maana ya sovereignty.

Duu
Nimepata nahau mpya, kweli kiswahili hatari "kuupaka upepo rangi"
 
Mine is one unitary government, which I think is more practical.

Kuhusu JK, mimi naona watu hawamuelewi kwa sababu hawasikilizi hotuba zake. Conclussions nyingi ni kutokana na maelezo ya third party.
JK anazungumzia rasimu hii ya katiba na mapendekezo ya aina ya serikali (zote tatu). Aina ya serikali zilizopendekezwa is absolutely impractical kwa sababu federal government (or whatever they may call it) haina nguvu. Haijapewa carrot na wala haijapewa stick ... yaani ipoipo tu!
Haina nguvu ya kuunda majimbo.
Haina nguvu ya ku-regulate international trade.
Haina nguvu ya kukusanya mapato... itategemea kuchangiwa.

Bunge lake ni kama higher house kwenye bicameral system ambapo lower houses zitakuwa state legislatures (WTF?)
Sasa badala ya kutaja tu "Serikali tatu", wangeeleza serikali tatu kivipi? Yeye ana serikali mbili ambazo zinafanya kazi na zimefanya kazi kwamuda mrefu tu, ingawa kuna matatizo .... hayo yapo nchi nyingi tu.

Ndiyo maana akawaaambia, siyo mnasema serikali tatu tu, muwe tayari kujibu challenges mtakazoletewa kuhusu hizo serikali.
Tatizo siyo muundo, bali mfumo.

JK nimeisikiliza hotuba yake yote, mwanzo mwisho. Tena kwenye speaker yangu kubwa kabisa ile ya muziki kama "disco" ili nisikie mpaka alivyokuwa anahema.

Kwanza JK kuongelea tu suala hili wakati kashaipa kazi tume, na alikuwa na access ya kuipa maoni yake tume kabla tume haijamaliza kazi, ilikuwa ni inappropriate.

Kama aliona serikali mbili ndio muundo unaotufaa, na yeye ndiye kiongozi wa Tanzania wa kuchaguliwa, kulikuwa hakuna haja ya kuunda tume.

Angefanya kampeni tu kuwaelimisha watu mpaka wakubali serikali mbili a la "Ali Mwinyi, Ali Mwinyi - ndiyo, ndiyo, ndiyo".

Watu wangemuelewa na kusema hatutaki serikali tatu, au wangesema tunataka kura ya maoni.

Kulikuwa na haja gani ya tume kama tume imezunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi halafu rais anakuja ku grandstand with ire and condescension ?

Rais anaunda Tume kukusanya maoni ya wananchi kumbe geresha tu, anakuja kuwaambia serikali tatu over my dead body.

Anatuletea zile habari za old wild west trials za ma Cowboys, unaambiwa, we are going to hang you alright, but before hanging you, because we are a fair bunch, we will give you a fair trial.

Then we will hang you.

Ndicho alichofanya Kikwete hapa.

Ametuambia, serikali mbili lazima. Lakini kabla ya kuendelea na serikali mbili ngoja tufanye geresha ya Tume kukusanya maoni ya wananchi.

Utter nonsense!
 
Tusitake kudestablize nchi,tulilie uzalendo ktk taifa mengine ni upepo
 
Back
Top Bottom