Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Maono ya Kikwete Yatimia Misri

Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

Aliwatisha baadhi tu ya watanzania ili tukubali mfumo wa serikali mbili, kwa taarifa yako tu wewe Majeshi yetu JWTZ, Police,Magereza, Zimamoto Yanadai pesa nyingi za malimbikizo kwa kipindi hiki kuliko miaka iliyopita, mbona serikali haijapinduliwa, na ni bora tuishi katika mfumo huo wa kupinduana kuliko mfumo huu wa sasa wa kisanii ,Hakuna anayeogopa hoja au maono hayo ya kisanii
 
Umeshasema mkuu wa jeshi la Misri amejiuzulu! Ina maana anagombea nafasi ya uraisi Kama raia Sasa jeshi limeshika dola vipi? Ningependa jeshi lichukue nchi ili mafisadi washikishwe adabu lakini haitatokea maana viongozi wote wa juu wa jeshi nao ni Maccm.
 
learn/remember the use of comma, fullstop, exclamation marks, question marks etc. your Score: 15%.+ 5 strokes!!!!!!
See me!!!!!!!!!!!!!!??????????????????
UJUMBE UMEFIKA
Kaa ufahamu sio watu wote tnatumia Keyboard za Computer
unaweza kuta natumia Blackberry 8100 ikitumia ABC kwenye No 2, DEF #3 sasa comma au capital letter za nini wakati habari imefika?
Bravooo Kikwete, achia Tanganyika ije hao Wazanzibar watajitoa wenyewe tu
 
Uhuru gani wa kufisidiwa kila uchao? Hivi kuna uhuru kweli chini ya utawala wa CCM? Mimi ninaona huyo ni mkoloni mweusi. Tulifukuza mweupe sasa tunatawaliwa na mweusi. Uhuru wa kweli tutaupata siku CCM itakapong'olewa madarakani.

Na nani alikudanganya kuwa akija mwingine hatakutawala?

Nini maana ya utawala?
 
Mleta thread uko na IQ ndogo mbona hii kitu ipo na imefanyika zaidi ya miaka elfu moja iliyopita. Jitahidi kusoma na kusikiliza taarifa mbalimbali, JK ni below ordinary when it comes to visión.


non sense
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

Maono gani hayo ya kitu kilichokwishajitokeza?we boya kweli acha ushabiki wa kijinga,eti maono!mapunduzi misri yametokea zamani sana,na kama mwanajeshi kugombea urais ndiyo ajabu yeye mwenyewe si ni mwanajeshi!
 
Umeshasema mkuu wa jeshi la Misri amejiuzulu! Ina maana anagombea nafasi ya uraisi Kama raia Sasa jeshi limeshika dola vipi? Ningependa jeshi lichukue nchi ili mafisadi washikishwe adabu lakini haitatokea maana viongozi wote wa juu wa jeshi nao ni Maccm.

Tena na menyewe ni mafisadi na uanajeshi wao!
 
Kwani hivi sasa anayetawala kwetu si ni x-soldier?Hivi mleta mada kwa akili uliyojaliwa hata ya kupost uzi hapa,unadhani wanajeshi ni tofauti sana na binadamu anayetakiwa kutawala?Mtu amevua gwanda ili akagombee,tatizo liko wapi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ni wazi Kikwete ni Kiongozi mwenye maono,

Wakatia akihutubia bunge maalum la katiba Mh Rais alitoa tahadhari juu ya jeshi kukamata dola na baadae kiongozi wa kijeshi kutaka kugombea na kuua kabisa mfumo wa kidemokrasi


Yametimia Misri baada ya Mkuu waajeshi kujiuzulu jeshini na,kutangaza hadharani kuwa anagombea urais wa Misri.

Kikwete alitoa tahafhari juu ya muundo wa Muungano wa serikali tatu ambapo jeshi litakua chini ya serikali ya Muungano isiyo na vyanzo vya uhakika vya mapato,.hivyo kuhatarisha serikali kwa uwezekano waapinduzi

Vyanzo vya UHAKIKA vya mapato ni speculation tu. Ni lugha za kutishana tu.
 
Asiye ogopa serikali za kijeshi kwa kudhani kua zitakuja kuongeza Demokrasia, ujue huyo ni mtu anayetaka kupinga kila kitu. Kwa hali iliyopo Misri ni kua Raisi hana mamlaka ya jeshi, hivyo rais kila wakati yupo ktk mashaka ya kupinduliwa kama atakua ni raia wa kawaida. Ndio maana demokrasia hapa itakua kitendawili ila watakaopeta ni wale wanajeshi ambao tayari wameshaweka mtandao wakukubalika jeshini. Tumeshuhudia serikali ya kiraia ikiangushwa na waandamanaji wakipewa hukumu ya vifo, bado watu mnatamani?
 
Maono gani hayo ya kitu kilichokwishajitokeza?we boya kweli acha ushabiki wa kijinga,eti maono!mapunduzi misri yametokea zamani sana,na kama mwanajeshi kugombea urais ndiyo ajabu yeye mwenyewe si ni mwanajeshi!

Kuwa mwanajeshi hakuzuii kugombea uongozi kidemokrasia. Hata kwa level za uongozi mikoani, kuna rtd Military cols,lt.cols, lt na wengine ambao ni wastaafu jeshini lakini ni wakuu wa mikoa, wilaya au hata vitengo!
 
Mbona huyu mjinga anajibika tu.hivyo sio kijeshi maana amejiuzuru ili aingie ktk kinyang'anyiro cha kuwania tena kidemokrasia kunakupata au kukosa.kijesh angekwenda na gwanda lake ikulu na kuamuru jesh lianze kaz mara moja sasa kaacha jeshi lichague kiongezi wake yeye kaenda kufanya siasa na wananchi wana haki ya kumchagua au kumotezea full stop.sasa vijimaneno vya nini jaman msomage hata vitabu!
 

FYI ya huyo ya Mwanajeshi wa Misri ilikuwa inajulikana hata kabla ya KIKWETE kuwaambia Wananchi Msiopenda kufuatilia Masuala ya kimataifa wenyewe mpaka muambiwe na RAIS wenu

Na Issue ya JESHI LA MISRI kuchukua Madaraka sio kwasababu ya kushindana kukubaliana kurekebisha katiba ni UONGOZI ulioshinda kwa VINDEMBWE kuwanyima haki WaMISRI wote yaani wa DINI KABILA na HULKA MBALIMBALI

Wao walitaka kuifanya MISRI isiwe SECULAR STATE kama ilivyokuwa; Walitaka iwe ya KIDINI ya KIISLAMU na pia walitaka kuvunja Mikataba yote walionayo na ISRAEL aliyosaini Rais Anwar Sadat na Begin

Kwahiyo JARIBU kufuatilia kidogo INTERNATIONAL AFFAIRS Uweze kuelewa VIZURI kabla ya kurukia HABARI hivyo hatutafika...



c.c kingukitano

Nguu,You need to be critical thinker,Hoja ninayojenga ni urahisi wa jeshi kupindua serikali yoyote,the issue is not whether it emanates from Constitution review or else,Hoja yangu ni kupindua,kutawala kwa muda na kisha kutaka kugombea,ndicho kilichotokea Misri.

Hoja ya JK haikua kupindua because of misundastanding in Constitution review,Issue ya Mh Rais ilikua ni Jeshi likiona linaletewa longolongo katika mahitaji yake ni rahisi kupindua na kuvunja mifumo ya kidemokrasia.

Alitoa tahadhari kulingana na pendekezo la serikali tatu ambapo jeshi linakua katika mambo ya Muungano,hapa ukiangalia kiundani the union government haina sustainable and stable source of Revenue,hadi itegemee nchi washirika,JK akaona,ni rahisi siku moja nchi washirika wakakosa au kuamua kutopeleka fedha kwa serikali ya Muungano hivyo kukwama hata kulipa salary jeshini,Kinachofuata ni mtanange.

Kwa hiyo issue sio Kutoelewana ktk katiba issue ni Risk ya kuweka Jeshi chini ya Shirikisho la Warioba lisilo na uhakika wa mapato.
 
Mbona huyu mjinga anajibika tu.hivyo sio kijeshi maana amejiuzuru ili aingie ktk kinyang'anyiro cha kuwania tena kidemokrasia kunakupata au kukosa.kijesh angekwenda na gwanda lake ikulu na kuamuru jesh lianze kaz mara moja sasa kaacha jeshi lichague kiongezi wake yeye kaenda kufanya siasa na wananchi wana haki ya kumchagua au kumotezea full stop.sasa vijimaneno vya nini jaman msomage hata vitabu!

Usiwe mvivu wa maarifa,hujui kuwa Jeshi la Misri lilikwenda ikulu na kumfukuza Mosri na kuanza utawala?hujui kuwa Mosri alichaguliwa kidemokrasia?Hujui kuwa alipinduliwa na hadi leo nchi iko chini ya jeshi?na anaehombea ni Mkuu wa majeshi kama akijifanya kajiuzulu jedhini,

Unajua kuwa serikali iko chini ya jeshi?

Unajua kuwa usimamizi wa uchaguzi utakua chini ya jeshi?

Hapo kuna demokrasia tena we kenge?

Unajua kuwa hakuna uwezekano Mkuu huyu na Fidel Marshal wa muda hawezi shindwa kwa maana ametumwa na jeshi agombee na nchi iko chini yake?

Usitumie akili kunywea uji tuu,be a think tank bro!
 
Ni heri jeshi litawale kuliko serikali ya CCM maana tunajua siku jeshi litakapoamua kurejesha utawala wa kiraia, kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki. Hakutakuwa na tume ya Uchaguzi ya CCM wala wachakachuaji wengine wa CCM.

Hizo ni akili za gongo. Unaujua utawala wa kijeshi? Waulize kwanza walio tawaliwa kijeshi ndo ueleze utumbo wako
 
Ndoto za kudhania na kufikiria tanzania kama taifa lenye dhambi ni kosa sidhani kama tanzania ni nchi yenye utawala mbaya yako matatizo mengi tunaelewa na Wapinzani katika bunge wamejitahidi kwa kiasi kuyakemea tuna tatizo la uwadilifu katika nchi ufisadi wizi wa rasilimali mikataba kwa maslahi ya wajanja na wawekezaji tunachohitaji ni kuwajengea uwezo wananchi wa kawaida kuelewa dhamira ya kuchagua viongozi watakao wasimamia vyema katika nchi yao yenye amani sio kudunja nchi iliyotukuka kwa amani
 
upuuz mtupu,kwani yeye sio mwanajeshi????? labda kama mnawatisha mbulula mliowanyima elimu kwa maksudi!!!!
 
Mleta thread uko na IQ ndogo mbona hii kitu ipo na imefanyika zaidi ya miaka elfu moja iliyopita. Jitahidi kusoma na kusikiliza taarifa mbalimbali, JK ni below ordinary when it comes to visión.

Duuh!! Ni below ordinary?? Vipi kuhusu watu waliompigia kura?
 
Back
Top Bottom