Maoni yangu kuhusu Treni ya umeme

neno ni upanga

Senior Member
Jun 28, 2022
189
725
Habari wakuu!

Mimi kama mzalendo jana nimefuatilia majaribio ya treni ya kisasa kutoka Dar to Morogoro, nilichokibaini ni hiki
kama kwenye uzinduzi ambao kulikuwa na viongozi ndani yake imetumia masaa mawili kufika Morogoro, tafsiri yake uwezekano wa kutumia masaa manne kwa mfumo wetu wa uongozi kufika Morogoro ni mkubwa huko mbele, maana kitu kikiwa kipya efficiency yake ni kubwa tofauti kikianza kutumika ambapo efficiency mara nyingi hupungua, tofauti ya treni ya kisasa na mabasi itakuwa imepunguza foleni, lakini kwenye suala la muda naona sio kama tulivyoaminishwa!!

Lakini yote kwa yote tunaipongeza TRC, serikali, vyama vya upinzani, na wadau wote waliopush hili jambo kufikia hapa,!
 
treni tumepigwa hili. tusubirie awamu ijayo kama watalikubali watu. 😂😂

treni la miaka ya 70s huko. very poor quality. shameful kabisa. 🚮🚮🚮. nikiwa raisi wote jela walio husika na manunuzi
 
ukweli mchungu tunaotakiwa kuambizana pamoja na kupongeza hatua iliyofikiwa ni:
1. Serikali inatakiwa kuwajibika pakubwa sana suala la umeme, kama bwawa la Nyerere tayari, basi hatutaki tena kusikia umeme ukiwa na shida Tanzania, ni aibu na unarudisha maendeleo nyuma.

2. mabehewa ya treni hizi yanatia shaka sana, kichwa vile kilivyo tukilinganisha na za wenzetu, inaonyesha ni kichwa cha kuvuta mizigo sio abiria, mwonekano tu wa kichwa hauendani na mabehewa, watuambie, kama kuna value for money, au wameshindwa nini hata kununua used tu ya nchi zingine waboreshe kama kununua mpya wameshindwa, kwasababu hata zile used hazifanani kabila na hizi, hizi zinaonekana wazi ni kiwango cha treni za mafuta. oneni aibu basi. kuna siku mtawajibika.
 
Habari wakuu! Mm kama mzalendo jana nimefuatilia majaribio ya treni ya kisasa kutoka dar to morogoro, nilichokibaini ni hiki
kama kwenye uzinduzi ambao kulikuwa na viongozi ndani yake imetumia masaa mawili kufika morogoro, tafasiri yake uwezekano wa kutumia masaa manne kwa mfumo wetu wa uongozi kufika morogoro ni mkubwa huko mbele, maana kitu kikiwa kipya efficiency yake ni kubwa tofauti kikianza kutumika ambapo efficiency mara nyingi hupungua, tofauti ya treni ya kisasa na mabasi itakuwa imepunguza foleni, lakini kwenye swala la muda naona sio kama tulivyoaminishwa!! Lakini yote kwa yote tunaipongeza Trc, serikali, vyama vya upinzani, na wadau wote waliopush hili jambo kufikia hapa,!
Ni vuzuri ukazingatia neno majaribio...
Na nadhani majaribio yataendelea hadi pale watakapojiridhisha kwamba sasa reli na treni lenyewe ni salama kwa safari za abiria na mizigo kuanza 🐒

Treni ya umeme ni sharti iende kwa kasi kulingana na disign ya reli husika ilivyo jengwa. Mathalani hii sgr ya kwetu mfano dar-moro ni sharti itembee chini ya dk 90 mpaka kufika moro 🐒

kinyume na hapo ni hatari sana kwa chombo chenyewe, wasafiri, mizigo na reli pia, lakini pia itakua ni gharama kubwa mno kuiendesha kwa mtindo huo na haitawezekana.
Ni afadhali kuondoa mfumo wa umeme kisha kutumia diesel fuel ambayo gharama yake ni mara3 zaidi ya umeme🐒

Treni ya umeme ni sharti iwe na kasi kama umeme wenyewe 🐒

kwa majaribio well and good hata wangetumia masaa 10 ni sawa, kwasabb wakibaini kasoro wanarekebisha na kusonga mbele.

Ikiwa tayari ni salama, kwenda moro kwa zaidi ya dk 90 ni hatari 🐒
 
Habari wakuu!

Mimi kama mzalendo jana nimefuatilia majaribio ya treni ya kisasa kutoka Dar to Morogoro, nilichokibaini ni hiki
kama kwenye uzinduzi ambao kulikuwa na viongozi ndani yake imetumia masaa mawili kufika Morogoro, tafsiri yake uwezekano wa kutumia masaa manne kwa mfumo wetu wa uongozi kufika Morogoro ni mkubwa huko mbele, maana kitu kikiwa kipya efficiency yake ni kubwa tofauti kikianza kutumika ambapo efficiency mara nyingi hupungua, tofauti ya treni ya kisasa na mabasi itakuwa imepunguza foleni, lakini kwenye suala la muda naona sio kama tulivyoaminishwa!!

Lakini yote kwa yote tunaipongeza TRC, serikali, vyama vya upinzani, na wadau wote waliopush hili jambo kufikia hapa,!
bila kumtaja magufuli uzi huu ni batili
 
Habari wakuu!

Mimi kama mzalendo jana nimefuatilia majaribio ya treni ya kisasa kutoka Dar to Morogoro, nilichokibaini ni hiki
kama kwenye uzinduzi ambao kulikuwa na viongozi ndani yake imetumia masaa mawili kufika Morogoro, tafsiri yake uwezekano wa kutumia masaa manne kwa mfumo wetu wa uongozi kufika Morogoro ni mkubwa huko mbele, maana kitu kikiwa kipya efficiency yake ni kubwa tofauti kikianza kutumika ambapo efficiency mara nyingi hupungua, tofauti ya treni ya kisasa na mabasi itakuwa imepunguza foleni, lakini kwenye suala la muda naona sio kama tulivyoaminishwa!!

Lakini yote kwa yote tunaipongeza TRC, serikali, vyama vya upinzani, na wadau wote waliopush hili jambo kufikia hapa,!
Nadhani test at full capacity bado, why? Umeme wenyewe haueleweki. So nadhani ni suala la kuwapa muda tuone watakuja na nn
 
Back
Top Bottom