Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
1) Inanisaidia kuficha maovu yangu na inanifanya kuwa juu ya sheria (Dr. K, Mwigulu)
2) Pindi nikifikishwa mahakamani, naitumia kupata dhamana then kushinda kesi (mwakalebela)
3) Rafiki yangu aliponyimwa kazi jeshini, niliitumia kuwatisha waajiri na akapata kazi
4) Imeniweka karibu sana na maboss wengi wa serikali, Ikulu kwangu kama manzese
5) you name more
2) Pindi nikifikishwa mahakamani, naitumia kupata dhamana then kushinda kesi (mwakalebela)
3) Rafiki yangu aliponyimwa kazi jeshini, niliitumia kuwatisha waajiri na akapata kazi
4) Imeniweka karibu sana na maboss wengi wa serikali, Ikulu kwangu kama manzese
5) you name more