ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 149
- 129
Hivi ndugu mtanzania mwenzangu, umeona wapi baba kuruhusu taratibu ambazo zinamyima amani kwenye nyumba yake?
Mimi kama mtanzania mtazamo wa katiba mpya n8 mzuri sanaa, lakini bado hauna nguvu. Kipindi tulichonacho sio cha kuleta mchakato huo
ni mwakani hapo tunaingia uchanguzo mdogo ninani atakua msimamizi wa hili. Tunataka Katiba mpya inatupaswa tuchague viongozi ambao
watasimamia maslahi yetu. Lakini kwa muda huu hatutaweza chochoye tutajaribu tu.
Tuwe na subira tusubiri uchaguzi mdogo tuchague wenyekiti na madiwani wanaoweza kusimama na kuongea nini
wananchi wanataka na hata aliechaguliwa anataka jambo hili, hapo tutacheza mziki mzuri.
Ni maoni tu.
Mimi kama mtanzania mtazamo wa katiba mpya n8 mzuri sanaa, lakini bado hauna nguvu. Kipindi tulichonacho sio cha kuleta mchakato huo
ni mwakani hapo tunaingia uchanguzo mdogo ninani atakua msimamizi wa hili. Tunataka Katiba mpya inatupaswa tuchague viongozi ambao
watasimamia maslahi yetu. Lakini kwa muda huu hatutaweza chochoye tutajaribu tu.
Tuwe na subira tusubiri uchaguzi mdogo tuchague wenyekiti na madiwani wanaoweza kusimama na kuongea nini
wananchi wanataka na hata aliechaguliwa anataka jambo hili, hapo tutacheza mziki mzuri.
Ni maoni tu.